Ni mtihani sana mkuu.Afu kuna mataahira yanakwambia habari za kwenye Biblia ni hadithi za vijiweni nakati Nabii Musa alikuwa na hasira kwa asili ya kigugumizi kama wewe?
Watu wenye asili ya kigugumizi huwa nawaogopa kama ajali maana huwa hawana msamaha kirahisi rahisi kabisa.
Amedandia gari kwa mbele 😅Sheria ingeendeshwa kwa upepo nakati unajua kabisa Mawakili na wanasheria wananeemekaga kiulaji papo hapo?
Hukuelewa kuwa Mama yake na Jamaa ni Mjane?
Pisi Kali zilizojaa tele mitaani yeye anataka kuchovya dushe lake ulipohalalisha wewe kumiliki?Natamani ninunue radi nimtwamge jamaa mmoja anaemendea chakula yangu
Hapa hatupangi mauaji Bali tunakumbushana nyakati za giza tulizozipitiaMonds naomba mm n familia yangu huu uzi ufutwe kwa maslahi mapana ya kulinda amani na utulivu w jamii
Picha haifunguki tupe maelezo yake Chifu
"Ndo siku ya kwanza kulia machozi huku nacheka.Nimemwekea nadhiri moyoni"...[emoji848]Aisee,nilikuwa na fundi ninaemuamin sana na alinijengea nyumba kadhaa mimi nikiwa mbali na ziliisha vizuri nami nilikuwa naridhirika.Sasa nilikuwa na nyumba moja niliijenga kwa shida baada ya kibarua changu kuisha but nikawa nimeezeka tu,so nyumba ilikaa muda mrefu mpk likawa chaka la wabakaji,wezi ikafikia muda nikaitwa na serikali ya kijiji kuwa nitafute mbadala Kwan hilo jengo ni hatarishi kwa jamii.So nikamwiita fundi yule wa siku zote tushariane namna ya kufanya,akanishauri nichukue mkopo pahala angalau niwezeke madirisha wakati najipanga.Si kawaida yangu kukopa but ilibidi niende pahala nikope milioni 5.Kwa sababu mie naishi mwingine.Tukapiga hesabu tukaona milioni 4.5 inatosha kumaliza na kufitisha madirisha.Mie ili kuepuka kutumatuma pesa ikabidi nimwamini km siku zote nikamtumia pesa yote na kutolea. AISEE huu ni mwaka wa 3 Kwan baada ya kupata pesa ile alihama mkoa na kuhamia dodoma .Ndo siku ya kwanza kulia machozi huku nacheka.Nimemwekea nadhiri moyoni
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
...😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23] waovu hawazaliwi .....but wanabadilishwa na mazingira
Ingia tapatalk boss 😬😬😬😬😬😁😁😁Picha haifunguki tupe maelezo yake Chifu
I feel you asee kupitia hii koment"Ndo siku ya kwanza kulia machozi huku nacheka.Nimemwekea nadhiri moyoni"...[emoji848]
Akaibe vizuri huko alipoKuna jamaa alitaka kukwapua Tecno Camon CX aisee niliwaza na kwa msaada wa wananchi wenye hasira kali tulitekeleza....[emoji205]
Kila cheti kinapatikana upya, mi huwa sijihangaishi na kitu ambacho naweza kipata tenaMoja ya vitu naogopa na sipendi mtu anizoee ni cheti Cha form four yaani cheti Cha form four nakihusudu Sana Bora mtu achane Cha ubatizo naweza msamehe lakini sio form four maana nimesoma shule za gharama Sana Hadi form four.