mkuu French.
View attachment 582689 View attachment 582692 View attachment 582693 View attachment 582694
picha za miamba mbali mbali za bentonita
Bentonite naomba nikukumbushe kuwa ni madini yatokanayo na mabadiliko ya mavumbi au macjivu ya volcano endapo italipuka na kutua kwenye maji na hasa maji ya chumvi( sea water). kutokana na halii inaamanisha mara nyingi bentonite inapatikana maeneo ambapo volkano imetokea na ikatua kwenye maji ya chumvi.
kwa tanznia yetu maeno haya ni ya ukanda wa bonde la ufa. hasa la upande wa mashariki. yaani ARUSHA-MOSHI-MANYARA-SINGINDA-KIDOGO NA DODOMA. ukiangalia ukanda huu maji yake ni ya chumvi sana hata maziwa yake kama manyara na natroni.
French
Bentonite inakazi nyingi sana kama kama kufyoza uchafu au langi fulani kutoka sehemu flani, inatumika kwenye petroleum refining as catalysis , kutengeneza plastic na paper etc zipo nyingi sana. but swali lako halijalenga huku.
.Sasa hasa hasa wapi utaipata BENTONITE KATIKA UKANDA HUU?.
French
1. minjingu karibu na ziwa manyara
2.Gelai karibu na ziwa Ntroni
3.Arusha karibu na lake Amboseli
4.Iramba siginda ndani ya bonde lawembere-manonga
mkuu French usitoke mbio kwenda kuanza kuchimba ukapata hasara ukanilaumu bureeeeeeeeee et nimekudanganya. mambo ya madini hatakama ukiambia kuwa ndani ya uwanja wa mpira ule kunamadini. usibebe vifaa ukaanza kuchimba.
unahitaji detail nyingi sana ili kujilizisha mahali exactly yalipo na kina pamoja na kujua ubora wake. kwa kifupi maeneo niliyokutajia huwezi kukosa bentonite.
asante kwa swali kama sijakujibu vizuri unaweza kuniuliza kwa upya tena mkuuu.