Umaskini ni laana; nimeamini pia maskini ana roho mbaya sana

Mkuu, minajua boss hana baya....😊
Tatizo hiki kiungo tumbo...πŸ˜ͺ
We subiri muamala utasoma soon boss atakua anafunga HESABU mda huu baada ya hapo anakukatia 20k yako kwenye lipa namba
 
Boss huna baya fanya hata bajaji basi nikuletee posho ya vocha daily [emoji23]
 
Mimi staki kumsumbua mkuu hapa....[emoji4]
Ebu afanye wepesi kwa....
Tigo wakala ni 537797 Ashraf Abdallah...[emoji4]
M-pesa wakala ni 876134 Ashraf Abdallah....[emoji39]
Ungeweka namba yako ya Simu, kuweka namba ya wakala huo ni mtego wa kupata taarifa zake muhimu. Kama ana akili hatokutumia kwa staili ya kutoa.
Weka namba yako watu wakutumie pesa.
 
Pengine una kanguvu fulani cha giza na haujui mkuu, jifatilie

Watu hawawezi tu kukusingizia kuna kitu wamegundua kwako kutokana na nguvu/pesa uliyonayo wanashindwa kukuface- jifatilie
 
Ha ha ha, serikalini? 3m kwa siku? Labda kama wewe ni waziri, Pima, Mkurugenzi wa Arusha yuko Magereza kwa sababu ya hela chini ya 120m, ambazo amezitoa kijanjanja kwa ukandarasi, wewe unaondoka na 3m kila siku, mi Tanzania mijinga sana
Mzee una wivu mno... unaonekana ni mlalahoi mzee.!
 
Hizo kazi unafanya mwenyewe? Hamjui humu ndani kuna wau wa aina gani na kazi tunazofanya, hiyo serikali unayoiba hivyo labda ya Congo, sisi tuna CPA zile za miaka ambayo wewe unasoma standard 3, na tunajua mifumo haswa, umetudharau sana wewe mjinga
N dhahiri umeonesha chuki na wivu wako wazi wazi sasa. Hivi TZ kuna wazee wajinga?
 
Ungeweka namba yako ya Simu, kuweka namba ya wakala huo ni mtego wa kupata taarifa zake muhimu. Kama ana akili hatokutumia kwa staili ya kutoa.
Weka namba yako watu wakutumie pesa.
Nimesha kutumia namba yangu PM mkuu, maana wewe ni chief, mkurugenzi usie na maneno mengi, huna baya zaidi ya kusingiziwa boss....😊
Ebu fanya neno moja tu PM itawaka kama dhahabu...πŸ”₯
 
3 million per day?

3Γ—30=90 million per month.

Let say..... [emoji116]

1 Million per day?
1Γ—30=30 Million per month.

Legal activity?
Tanzania?

#MyCountryPeople[emoji1241].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…