Umeshawahi kulipigania penzi lisivunjike lakini mwisho wa siku ukakubali kushidwa

Umeshawahi kulipigania penzi lisivunjike lakini mwisho wa siku ukakubali kushidwa

2018 nilimbembeleza sana Yule mwanamke aendelee kubaki huku nikiomba msamaha kwa kosa silijui lakini ndio kwanza akazidisha matukio ikabidi nikubali knock out kishingo upande japo nilienda kumtumia text Mara moja moja kwa WhatsApp lakini hazikuwahi kujibiwa, hata text yangu ya pole kwa msiba wa baba yake haikujibiwa mwisho wa siku nikafuta namba..

Sasa mwaka huu 2021 siku ya Valentine namba ngeni inapiga kuuliza nani ni yeye, anaanza blah blah sijui kanimiss, nimsamehe anaomba tuanzishe maisha mapya, kumbe wahuni washamfanya single mother halafu wametokomea kusikojulikana[emoji2]
dust to dust ,kaza mkuu usilegeze kupumzikiwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
Niliamua kumpa simu yangu ikawa yake Mimi nikaamua kuchukua kitochi, alikuwa na hesabu zake
Kunguru kunguru tu.
 
2018 nilimbembeleza sana Yule mwanamke aendelee kubaki huku nikiomba msamaha kwa kosa silijui lakini ndio kwanza akazidisha matukio ikabidi nikubali knock out kishingo upande japo nilienda kumtumia text Mara moja moja kwa WhatsApp lakini hazikuwahi kujibiwa, hata text yangu ya pole kwa msiba wa baba yake haikujibiwa mwisho wa siku nikafuta namba..

Sasa mwaka huu 2021 siku ya Valentine namba ngeni inapiga kuuliza nani ni yeye, anaanza blah blah sijui kanimiss, nimsamehe anaomba tuanzishe maisha mapya, kumbe wahuni washamfanya single mother halafu wametokomea kusikojulikana[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatari
 
Daah demu alikuwa black beauty chocolate sio poa alinipenda kichiz mnoo tulikuwa tuna similar hobbies mpira, movies ,comics books na nk kiufup tulikuwa nerds


Alikuwa genius mambo ya cryogenics , cryobiology ,alikuwa anapenda sana kumsoma Stephen Hawking hasa vitabu vyake vya briefly history in time 1988, the theory of everything nk demu anapenda sana kucheki national geographic Chanel's na on top of anacheza forex huyo sio poa demu yuko real sana

Alinifuma ghetto namnjunja manzi fulani hivi alilia sana kila nikiomba msamaa wapi
Kunguru wa Manzese najutia

Ni almost 2yrs hataki kuniona na view status zake zenye memes embu nipeni mbinu za kumrudisha
 
Dah nakumbuka nilimpigia magoti mtu barabarani
Daaah mapenz haya [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Pole

Usisahau kunawa maji tirilika kwa sanitizer au sabuni . usisahau kuvaa barakoa na kufanya social distance jitahidi kuzingatia nakufuata ushauri wa wataalam
Na oktoba 20 asisahau kwenda kupiga Kura au tushapiga
 
Back
Top Bottom