Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?

Huwezi jishughulisha ukiwa umekufa, waza ukiwa hai kwamba siku nikifa wanaobaki watanionaje kupitia simu yangu? 😂
Watakuonaje vp na ushakufa, the dead have nothing to do with the living world, uwe ulikuwa mfiraji, ulikuwa jambazi, shoga, nk ndo ushaondoka , haupo tena
 
Mimi natumia Password tu na siyo fingerprint!

Simu ina password, line ina pin, ko nikifa hakuna wa kuunlock simu yangu labda waiflash! Nikifa nakufa na vilivyomo
 
Unazidi kujiharibia. Uwezekano wa kuendelea kukuamini na kukupa connection itakugharimu
Mkuu mpaka nikaandika hivyo najua hana madhara kwangu. Ni boss si kwa maana ya kuwa niko chini yake sehemu ya kazi, ni boss kwa mishe za kitaa tu. Pia ame comment hapo juu akicheka hope niko salama
Unazidi kujiharibia. Uwezekano wa kuendelea kukuamini na kukupa connection itakugharimu
 
Hakuna cha PC ya bosi wala mavi yako mkuu hapo niwewe ndie unasevu zile picha na umekuja kwa id yako nyingine!
Limtokalo mtu mdomoni, ndivyo alivyo moyoni.
 
alimuelewa jamaa anieleweshe
 
uliingia kwenye ma file ya watu ya nini kama sio umbea
 
alimuelewa jamaa anieleweshe
Kwanza hujaelewa nilichoandika, tafuta kwanza kuelewa.
uliingia kwenye ma file ya watu ya nini kama sio umbea
Wewe ndie kiongozi wangu wa umbea, umesahau kama ulinifundisha? 😂

Nilipewa ruhusa ya kukagua files zote ili nifute zisizo na maana kwake kwa ajili ya kuongeza space. Umeelewa mbea mwenzangu
 
Una akili sana wewe, aje na ID yake ya G. Watu tunamchora tu, aendelee ataumbuka soon... marehemu anaandika comment upuuzi mtupu.
Una tatizo na mimi labda?? Id ipi?? Hebu umbua hapa basi
 
rudia ulichoandika ulivutiwa kufungua folder la jf kuliangalia, na huo ndio umbea kuangalia visivyokuhusu
 
Aliekufa kafa tu haibadilishi chochote hata siri zikijulikana.

Kuhusu huyo boss wako aliekupa kazi kwenye pc yake akipita hapa atakujua tu umefunguka sana.

Kuhusu kutunza picha sidhani kama ni kwa nia mbaya, n kuweka kumbukumbu.
Hizo picha zenye sura nusu? Kama yangu anatunza halafu anasubiri upande mwingine aunge au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…