Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Kisipohusiana na CCM nitakisapoti kwa moyo mkunjufu ila kama ni pandikizi la CCM siwez kuwa na muda mchafu
 
Kwa jinsi wanavyochelewa kulipa usajili ndivyo mashaka yanavyozidi kuongezeka .

Maana wazee wa mipango nao wasijekuwa kazini ukawa ni mtego kama mingine.

Bora kubakia hapa tu.

Kila la heri kwa watakao vamia huo mtego. Mimi siendi.
 
Jenga zahanati, shule, au hata barabara mtaani kwenu au kijijini kwenu kajengee maskini makazi bora.
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.

Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
Kitakua chama cha mfukoni hakuna jipya,
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.

Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
Ntakuunga mkono, ni muda sasa wa kuachana na wababaishaji
 
Dola wala halina shida wengi ni wazalendo wa kweli na wanaipenda nchi yao, tatizo lipo kwa wanasiasa.

Dola wangekuwa na uzalendo huo, wanasiasa wasingefanya kila watàkalo bila kuchukuliwa hatua.
 
Mimi nitajitolea kugombea Urais kwa tiketi ya hiki chama
 
Safi sana, hopeful kitakuwa ni chama angalau kinajielewa. Maana hawa wengine chenga tupu.
 
Back
Top Bottom