Hicho chama kitakwama sababu ni wazi kinapingana na team Msoga.Hata ukiacha sawa tu, sasa hivi kina mamilioni ya wanachama. Subiri muda utaongea.
Ni kweli mkuu mimi niliona kazi zake tuHakumjua vizuri Magufuli tu hakuna cha ziada.
Wenye vyeti fake na wafanyakazi hewa ndio watu timamu? Huna hoja wewe.Watu wengi ambao walikuwa sana wanaunga mkono upuuzi wa bwana yule ni watu wajinga wajinga, wenye roho mbaya, mtu yeyote mwenye akili timamu alikuwa anaweza kung'amua ujinga na uongo ule. Leo wanalalamika ripoti ya CAG, tujiulize kwanini CAG alifukuzwa kazi na taarifa zilikuwa zinafanywa siri? Kwa akili ndogo tu unaona ni kwakuwa kulikuwa na ufisadi unafichwa.
RAIS Mwinyi ndo amebaki wa maana tu ndani ya chama mboga .kikuwa chama changu ila nimeshakitoa rohoni hata kingejuvua gamba la chuma .kikafie mbali
Mkuu mbona umekuwa mkali hivyo?Na miliokufa huko Moshi kama nzige mkimuabudu Mwamposya mlikuwa wasukuma ? Si hao hao wenye meno ya kutu kama kashata.
Hivi hawawezi kuwa wafuasi wa magufuli bila hizo picha ?View attachment 2192755View attachment 2192756View attachment 2192758
Naona Nembo mojawapo ya Chama ni picha ya JPM [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna msafi ndani ya ccm..wamejaa mafisadi..na walaghai.RAIS Mwinyi ndo amebaki wa maana tu ndani ya chama mboga .kikuwa chama changu ila nimeshakitoa rohoni hata kingejuvua gamba la chuma .kikafie mbali
Kuna mtu alikuwa anafatilia PhD ya Jiwe ila bahati mbaya akauwawa. Tetesi ni liwa kumbe Jiwe alikuwa na PhD fake.Wenye vyeti fake na wafanyakazi hewa ndio watu timamu? Huna hoja wewe.
Chama cha Sukuma gang only.View attachment 2192755View attachment 2192756View attachment 2192758
Naona Nembo mojawapo ya Chama ni picha ya JPM ππππ
Una akili wewe kweli? Zenji unaweza ilinganisha na Bara? Nchi yenye watu wengi na nchi yenye watu wachache ni ipi athari za kiuchumi zinaanza kuonekana?Watu wanamkubali Mwinyi kutokana na vitendo, kazi zake, utendaji wake. Anawajibika na kuwaajibisha wote kwenye serikali yake. Hana mipasho, ngojera, vijembe, visingizio. Ameiunganisha Zanzibae.Unaweza kuona Zenji inaeelekea wapi chini ya utawala wake.
Huku bara ni visingizio kibao "bei za kila kitu lazima zipande" anasema Rais wa JMT. Sababu anakwambia ni vita vya Ukraine- Urusi, Corona.
Upinzani hawahoji chochote wanataka maendeleo ya watu sio vitu, sera za ukanda, kila tatizo sababu ni Sukuma gangs, JPM, kiongozi wao mkuu baada ya kutoka jela haizunguzii tena.
Sera kuu ya CCM, upinzani ni kumkebehi JPM wanamuita mwendazake na majna mengine mengi ya kebehi sijaona yakitumika kwa kiongozi, mtu mwingine yoyote aliyekufa. Utamaduni wetu TZ tunawaita Hayati, Marehemu.
It will interesting and fun to watch kampeni za uchaguzi CCM na upinzani wa sasa wakiuza sera zao kwa wananchi
Wananchi wakiwauliza kwanini hatuna umeme, maji, tuna kodi, tozo za ajabu, mfumuko wa bei na wao wakijibu sababu ni mwendazake.
Kwanini miradi ya kimkakati inasuasua, tunakopa hovyo, wao wakijibu ni sababu ni mwendazake.
Kwanini masoko yanachomwa moto, ajali zinaongezeka, kwanini hamna sera zenu mpya kulisaidia Taifa, Wao (CCM , upinzani) wakijibu Sababu ni mwendazake, Sukuma gang, Wasukuma.
Hoja za majigambo jigamboKama ukiwa asset watu watakutumia tu kufikia ndoto zao na watajaribu kuishi kama wewe, unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?
Hiki chama kinaweza kuwa chama kizuri kama kitakuwa kinaeneza sera na sio chuki, watu wamemis sana kusikia hoja zenye nguvu.
Acha kubwabwaja Dikteta lazima asemwe ili Tanzania tusije pata dikteta mwingine kama Magufuri.Probably itakuwa kitu vizuri CCM, ACT, Chadema wakaungana pamoja wanakubaliana na kuunganishwa na mambo mengi kikubwa kinachowaunganisha, sera yao kubwa ni Anti- Magufuli, chuki kwa kanda flani, kuangalia nyuma awamu ya tano na kutukana na kubeza kila kitu kilichofanywa wakati huo mazuri na mabaya.
Watanzania wote waliobaki ni vizuri wakaungana pamoja waanzishe chama kipya kitakachosimamia maslahi mapana ya Watanzania wote bila kusahau maslahi ya Tanganyika, kuangalia mbele na kuiunganisha, bila kuendekeza ukabila, udini, ukanda, matabaka, matusi, kejeli, mipasho.
Tanzania tuwe na vyama viwili tu imara.
Unaona eh yule jamaa alikuwa mwizi ndiyo maana muda wote wa miaka mitano ya utawala wake alikuwa anapambana na vyombo vya habari pamoja na vyama vya upinzani.
Mboga hukuropoka huu utumbo wako mapema kabla ya Magufuli kufariki ili tujue? TO HELL