Wanao penda hii michezo utawajua tu, mkuu tafuta dawa upate nguvu za kiume, unadhalilika kutamani mdiny o wa waume za watuUmefutikwa kitu nyuma ww sio bure
Ni lini walimwomboleza Saddam Hussein?..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.
..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.
..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Una umri gani?
Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.
Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Kwa hiyo Lisu hasikilizwi ?Hata rais kichaa wa ufilipino atapewa hiyo heshima since alikuwa member wa UN
Mwambie Lisu na Lema hawasikilizwiUna umri gani?
Una elimu gani?
Umekula mlo kamili na chakula bora na ukatosheka?
Wapumbavu wa kibongo wanamponda dunia ya wenye akili inamtambua. Nadhani hili litakuwa somo kwa kama wanazo.
Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.
Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Ni lini walimwomboleza Saddam Hussein?
Siyo lazima viongozi wa nchi kuhudhuria vikao UN...kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.
..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.
..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Siyo lazima viongozi wa nchi kuhudhuria vikao UN.
Magufuli ameitangaza sana Tanzania huyu mwamba, dunia nzima inamtambua
Ngoja tuone mkuu..hapana.
..Tanzania ni kubwa kuliko Magufuli. Tanzania ndio imemtangaza Magufuli.
..hao mabalozi wanaoomboleza wanafanya hivyo kwasababu wanaiheshimu Tanzania, na wanapenda kuwa na mahusiano nayo mazuri.
..vijana mnatakiwa mfunguliwe darasa la diplomasia na mahusiano ya kimataifa.
cc MALCOM LUMUMBA