Ni utaratibu wa kawaida.MATAGA msifurahie
 
Cardinal alisali nae...
Akaanzisha nyimbo... na kuongoza ibada ya kawaida before kufa..

Ndugu wa marehemu said all that.

Sasa hukumu zenu wajukuu wa ibilisi mbaki nazo wenyewe[emoji16][emoji16]
Padre alienda akakuta mzoga tayari, hakumkuta meko.
Meko kaikosa mbingu hivi hivi yani, kafika tu jehanamu wale jamaa waliokuwa wanaungua kwenye tanuru wakaanza kumuita "kiongozi" "kiongozi"
 
Unapingana na mabeberu?
Umoja wa mataifa una watu wenye akili. Ingawa Magufuli aliwaita mabeberu, wao wanaangalia substance kwenye uongozi wake siyo jinsi alivyowaita wao.
 
Padre alienda akakuta mzoga tayari, hakumkuta meko.
Meko kaikosa mbingu hivi hivi yani, kafika tu jehanamu wale jamaa waliokuwa wanaungua kwenye tanuru wakaanza kumuita "kiongozi" "kiongozi"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani nimeshindw jikaza nimecheka kwa nguvu🤣🤣🤣
 
Hapo Tundu Lissu na genge lake ,Kigogo 2014 na wauwaji wenzake kimewauma.hahahahaaa
 
Ameishakufa hata wakimsifia haisaidii, Wala hana madhara kwa mabeberu hata wakimsifia.
Watu wa ccm chenga sana, wazungu wakiwskosoa mnawaita mabeberu! wakiwasifia mnapiga makofi
 
kama memba wa jumuia hiyo anayo haki ya kukumbukwa,si nchi ilikuwa inilipia ada ya uanachama!

halafu hakuna sehemu hao unaowanaga waliwahi kusema kwamba kabla ya umauti ,un haitamkumbuka.

ameshakufa,ilo ndilo la msingi.
 
Ukitaka kujua watanzania Nani mwerevu na Nani mpumbavu soma hii mada.
 
Kinuju
Una elimu gani ndugu, ulisoma wapi, mitihani ulikuwa unafaulu au unaingia na majibu ndo ufaulu?
Unashangilia Magufuli kuombolezwa na MABEBERU tena ?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…