Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.

Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana

"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.

Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.

Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa.

View attachment 2999802
kati ya mkuu wa mkoa na yule dada nani alikuwa anamdalilisha mwenzake .tuanzie hapo.maana tumezoea kuitwa waheshimiwa.mfano unapoongea na mkuu wako lazima utangulize neno mheshimiwa.......lakini yule dada alikuwa mara nyingin hasemi ..mheshimiwa mkuu wa mkoa.nafikiri ndiyo maana mh Makonda akakasiririka .alikuwa naongea kama kweli anaongea na mchumba wake.

anywhere ,tusiangalia mabaya kidogo yaliyofanywa na Mheshimiwa makonda ,bali tunayakuze mema zaidi kwa ajiri ya chama chetu.Hivi kati ya yule dada na Mh Mankonda nani ni wa kuamini sana kuwa ni mwana CCM wa kukifia chama? CCM mjue kuwa kuna kikunda kinapambana kuona Makonda anaondolewa CCM kwa maslahi yao na si maslahi ya CCM
 
Merry chatanda amepiga kelele kumhusu makonda ,lakini pia chini chini mahali anakopita huyu kiongozi watu wanapiga kelele ambazo hazisikiki, sauti zinazomsifia ni zile ambazo zimejaa hofu. Kuogopwa! Labda anawaongoza watu kwa kuwatisha!

Moyoni hata waliomteua hawajui chakufanya! Anaweza akafanya vizuri mambo matano akaharibu mambo 20! Akipewa maiki kuhutubia watu wanashika roho mkononi kwa sababu anaweza kuongea lolote wakati wowote!

Huyu mtu ana ulemavu wa ulimi tusimhukumu ,tumuombee mungu amponye ,popote ulipo ndugu Paulo christian makonda pokea uponyaji wa ulimi katika jina la YESU kristo ,Amina
Ulimi unaongozwa na akili!
 
tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Anapinga udharirishwaji wa wanawake, wakati huo huo yeye pia anadharirisha wanaume. Hiyo ni kauli gani kama siyo dharau na udharirishaji kwa wanaume?
Huo utendaji mzuri wa kwake uko wapi? Mbona hatujauona mahali popote?
 
Merry chatanda amepiga kelele kumhusu makonda ,lakini pia chini chini mahali anakopita huyu kiongozi watu wanapiga kelele ambazo hazisikiki, sauti zinazomsifia ni zile ambazo zimejaa hofu. Kuogopwa! Labda anawaongoza watu kwa kuwatisha!

Moyoni hata waliomteua hawajui chakufanya! Anaweza akafanya vizuri mambo matano akaharibu mambo 20! Akipewa maiki kuhutubia watu wanashika roho mkononi kwa sababu anaweza kuongea lolote wakati wowote!

Huyu mtu ana ulemavu wa ulimi tusimhukumu ,tumuombee mungu amponye ,popote ulipo ndugu Paulo christian makonda pokea uponyaji wa ulimi katika jina la YESU kristo ,Amina
Arusha imemkubali huyu ndugu wananchi walioonewa wanatoa machozi ya furaha ,wamepata tumaini jipya
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.

Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana

"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.

Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.

Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa.

View attachment 2999802
Kuna chadema wamechapana mikwaju iringa hili nalo liangaliwe
 
Hafai kuwa kiongozi this time tunampeleka kolomije akalime tu,
Hela aliyonayo makonda analisha ukoo wenu wote kwa miaka mliyobakisha na mwama haogopi kitu chochote ndio maana siku ya kwanza alitamka anaweza kuwa RC Siku moja tu ila mijizi na wavivu watajua mwanaume kapita.Makoda hana njaa yoyote
 
 
 
Chatanda amewahi kuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha
Akafanya kazi Gani au aliwezaje kuwasaidia wanawake wa Arusha?

Mfano,Kwa Sasa kanga zote zinazovaliwa zenye picha ya Samia,ndiye mwenye kuziuza na kuzisambaza nchi nzima na wanawake hawapewi Bure zinanunuliwa kwa kuwalazimisha.
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.

Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana

"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.

Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.

Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa.

View attachment 2999802
Hata yeye Ashawahi kujidharirisha kwani yeye sio kosa
 
Umoja wa wanawake CCM hawajawa kusikitishwa, na ukosefu wa barabara kati ya chunya kwenda Tabora Wala kwenda singida.

Hawajawahi kusikitishwa na Samia, kubinafsisha bandari, ngorongoro na uwanja wa ndege wa Kilimanjaro.
 

Umoja wa wanawake CCM hawajasikitishwa na kitendo Cha mwanamke kumuua mume wake kwa kutumia kisu huko Kilimanjaro .​

 

Attachments

  • IMG-20240526-WA0039.jpg
    IMG-20240526-WA0039.jpg
    104.7 KB · Views: 3
Akafanya kazi Gani au aliwezaje kuwasaidia wanawake wa Arusha?

Mfano,Kwa Sasa kanga zote zinazovaliwa zenye picha ya Samia,ndiye mwenye kuziuza na kuzisambaza nchi nzima na wanawake hawapewi Bure zinanunuliwa kwa kuwalazimisha.
Nimesema Chatanda alikuwa Katibu wa CCM na siyo mlezi wa wanawake wa Arusha
 
Merry chatanda amepiga kelele kumhusu makonda ,lakini pia chini chini mahali anakopita huyu kiongozi watu wanapiga kelele ambazo hazisikiki, sauti zinazomsifia ni zile ambazo zimejaa hofu. Kuogopwa! Labda anawaongoza watu kwa kuwatisha!

Moyoni hata waliomteua hawajui chakufanya! Anaweza akafanya vizuri mambo matano akaharibu mambo 20! Akipewa maiki kuhutubia watu wanashika roho mkononi kwa sababu anaweza kuongea lolote wakati wowote!

Huyu mtu ana ulemavu wa ulimi tusimhukumu ,tumuombee mungu amponye ,popote ulipo ndugu Paulo christian makonda pokea uponyaji wa ulimi katika jina la YESU kristo ,Amina
Makonda amesema amegundua kwamba wezi, mafisadi na wanaofanana na hao WANAUMOJA SANA. Ukimgusa mmoja tu wenzake wanainuka...
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.

Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana

"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.

Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.

Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa.

View attachment 2999802
Mafisadi yakiongozwa na Kinana yapo kazini kuhakikisha Makonda anaondolewa U-RC maana keshaanza kugusa maslahi yao.
 
Back
Top Bottom