UN kupinga mradi wa Steigler's Gorge ni uhujumu

Hata wewe unakopa, kukopa unakopa popote.
 
Ni rahisi kupinga kuliko kuimplement
 
Tujenge tu ...UN wakapambane na ISRAEL KUHUSU JERUSALEM
 
Hata wewe unakopa, kukopa unakopa popote.
Basi kama mnakopa na mnafutiwa madeni pamoja na kuomba msaada kwao ambao mpaka mwaka jana mlikuwa mmeshafutiwa madeni ya thamani ya trillion 20 je kiburi cha kuwatukana mnatoa wapi.... Kama hawawapendi wangewafutia madeni??
 
Best solution ni wewe kuendelea kushangaa pembeni wakati watu wana piga kazi
No explanation will satisfy you.
 
Ni rahisi kupinga kuliko kuimplement
Hahahaha naona umekimbia mada yako kule kuhusu waarab na wazungu!!

nilichogundua unapenda kukariri.... Ssa wapi nmepinga?? Nachosema kwakuwa serikali ilishaanza kuwekeza umeme wa gesi basi hizi pesa za stiegler zielekezwe kwenye miradi mingine mfano ya maji vijijini ili waanze kilimo cha umwagiliaji sasa kwani kushauri ndio kupinga
 
Best solution ni wewe kuendelea kushangaa pembeni wakati watu wana piga kazi
No explanation will satisfy you.
Wana piga kazi!!! Kwani gesi hawakupiga kazi?? Mbona bado mgao upo na hauna dalili ya kuisha!!!

Nakukumbusha tu mwaka wa 3 huu bajeti ya maendeleo imetekeleza below 50% na kuna wizara imetekelezeka mpaka 10%.... Haya endeleeni kushabikia tu maneno ya wanasiasa huku uchumi unazidi kufa mkishauriwa mnaanza eti hujuma sijui wazungu cjui wapinzani!!! Hatutafika kokote ukileta mada uwe tayari kukosolewa na kurekebishwa sio unaleta mada unategemea tushabikie tu

Kwa staili hii kufikia uchumi wa viwanda itachukua miaka 200
 
Tabia za Ki-Mugabe za kushutumu "weupe"ili kuonekana mzalendo.

Maendeleo hayana itikadi,ujanja ujanja,uhuni,visasi na misifa!

Kelele zote za Sizonje za "hela zipo" hata leo ni "defensive. Ukweli ni maji ya shingo , ndo maana wanaibuka n.a. buku 3 kwa sticker n.a. Mpango kukiri mambo so shwari!

Akubali kushauriwa n.a. aache "bigotry,arrogance".
 
Brother issue sio dam...bali dam iko sehemu gani na ina athari gani kwa ikolojia
 
Huo mradi ukifanikiwa naama nchi.... ..hakuna hata kimoja atafanikisha herode..... Maana kila kitu anadandia dandia tu hata plan hana
 
wameonya wametuwarn na si kupinga. acha upotoshaji.
 

Hii ndo shida yenu watu wakiwashauri jambo mnadhani mnahujumiwa.

Mradi wa steiglers gorge ulikuwepo tongea zamani, tena kwa different studies na mapping ya rufiji river and basin na wajerumani in 1904, 1907, 1909 na 1911. Major staudies of the basin tena zikafanyika in 1928, tena zikafanyika in 1954... Wajerumani walikuwa wafanya extensive survey ya Rufiji basin kwa ajili ya navigation(before they settled kwa reli ya kati), umeme na irrigation. Waingereza walifanya survey kwaajili development of rufiji basin ikuhusisha irrigation na hydro dam.

Mkuu usi-dismiss faida ya feasibility studies. Especially kwenye miradi mikubwa kama hii zina umuhimu wake.

Mkuu kabla ya binadamu wa kwanza kwenda angani, wanyama mbalimbali walirushwa, kuangalia impact yake. Hawakuanza tu na kurusha binadamu moja kwa moja. Kwahiyo point yako is moot. Hiyo ya ndege kuungua was an accident everyone knows it.

Yes maendeleo ni multi-faceted, lakini tusitumie hicho kigezo kuharibu nchi na mazingira tuliyonayo.
 

Pole mkuu lakini naona umepoteza muda wako kumjibu. Akikuelewa nijulishe!!!!
 
UN wanatushangaa kwani tuna nishati mbadala yaani gesi asilia LAKINI hiyo mikataba mfu kutumia gesi yetu tuliopewa bure na Mwenyezi Mungu ni aghali kwa sababu ya mikataba mibovu hatuna chetu,Hadi leo umeme wa Song gas ni wa gharama sana.Wazungu wanaona tuna njia nyingine nyingi za kufua umeme bila kuadhiri mazingira,lakini ndio tulishafulia na hao walioifilisi nchi bado mnawaita waheshimiwa!wanadunda,kazi yetu sasa ni kununua kununua "MALAIKA" wa kisasa.
Ni bora kwa hali ya sasa ili tusirudie makosa,miradi yote mikubwa ijadiliwe na wananchi hasa walimu wana weza wakawa bunge mbadala badala ya hao weheshimiwa wanaoleta miswaada muhimu kwa hati dharura bila kupata muda wa kutosha kuisoma wakaielewa ndio ijadiliwe kwa mapana.
 
Bro, mbona unaongea upuuz? Kwaakili yako unadhani upo uwezekano wa kuyafanya yote hayo kwa pamoja?...kijana jifunze siasa za kinataifa..... Na usijifnye unjua sanaaa? Kumbe mpuuz tu

Hii ndo shida ya kusoma vitu bila kuelewa, nani kasema lazima kutekelezwa vyote. Shida iliyopo hata ni kurukia rukia vitu halafu serikali haivitekelezi to the fullest na vilivyopo haziendelezwi. Tena the worst thing wamerukia kitu ambacho kina negative impact kubwa kimazingira.
 
Wangepinga alafu watoe mbadala sio kupinga tu for the sake of kupinga.
Kwa mfano wangesema instead tutawapa hela mjenge Geothermal au Gas Power Plants kufidia hizo MW 2000.
 

Mkuu wakoloni both wajerumani na waingereza walifanya assessment na survey kubwa katika rufiji basin kwa nia ya kuindeleza, tena aim ilikuwa kwaajili ya agricultural irrigation, navigation na umeme. Tena zilifanyika mara nyingi nyingi in different years. Steiglers gorge came up multiple times as a good place ya kujenga dam kwaajili ya irrigation, umeme na fishing, ila waliachana nayo kutokana na environmental impact. Sisi wenyewe idea ya kujenga dam tumeitoa kwao ila tunajidai vichwa ngumu hatutaki kuelewa impact yake kimazingira.
 
Marekani kabanwa sasa anaamua kuonesha sura yake ya kishetani hapa ulimwenguni, Americans are evils!
 
Naona hili Tundu lissu hajalipata vizuri. Ngoja tu! Atakuja na maneno makali hayo! Wazungu watatutenga! Watatunyima misaada! Umeme kitu gani bhana! Sheria za kimataifa zinazuia!, nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…