Una maoni gani kwa matokeo haya ya kidato cha pili Shule ya Diplomasia inayopatikana Dar?

Embu assume ishu kama hii mwalimu anafundisha mke wa mtu!

Aseeee yaani hapo toto hata ulifundishe vipi haliwez khelewa linawaza lirud kutumikia ndoa
 
Fundisheni vizuri mwalimu acha visingizio
 
hiyo shule ina wanafunzi wa temeke mikoroshini,mtongani,mbagala kusema kweli ni wahuni ukipanda nao kwenye dala dala ni story za kijinga hakuna shule hapo nidhamu ni mbovu na nahisi watakuwa wanahishia beach
 
Shule za daslam za serikali na elimu wapi na wapi?🤣🤣watu wanashinda stend za mabasi kutwa nzima
Walimu nao wako busy na miradi binafsi
 
Siku hizi hawapo ,,wengi wanakaa vituoni masaa 4 mengine kwenye mishe mishe ,, serikali inazingua maokoto hivyo wanaingia chimbo kubalance
 
Shule yenyewe ni ya wavaa makobasi! Elimu dunia sio kipaumbele! Mnawalazimisha! Wana wa mnyaaazi mungu!
Wewe ni mpuuzi kuliko upuuzi wenyewe. Dini ya kuletewa imekufanya uwe mjinga square maana umekuwa kipofu.

Hiyo shule ni ya serikali 100% lakini umeingiza udini wa kipumbavu kushambulia pasipo hata kuangalia registration number ya shule kama ni private ama government.
 
Hakuna shule za mikoani nje ya Dar zinazofanya vibaya zaidi ya Dar?

Kuna shule huko mikoani wanafunzi wawili wana division four halafu 400 wana zero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…