Unabii baada ya kiongozi mmoja wa juu kubeza uwepo wa Mungu

Mhhhh hili shimo limetema kete haki πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
 
Ameen!!!!!
 


Mkuu sometimes Mungu huwasamahe watu kama hawa, uwezo wao wakufikiri ni mdogo sana.

ni kama mtoto mdogo anavyojinyea unamhurumia nakumsafisha.
 

Mkuu mbona hatujafikia kua na kiongozi katil mpk mungu alete adhabu zake hapa [emoji23][emoji23][emoji23]au cjaelewa kinachoendelea
 
Ma
Mkojani Fc wanajitahidi kukusanya nguvu, mara kwenye mapango ya kule kisiwani, mara kanda ya ziwa kwenye mizimu ya Bujora, mara kwa waganga wa kienyeji mara kwa Mwamposa na Bahashaaaaaa kubwa, hadi mwisho nani bingwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…