lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 414
Je, nini mtazamo wako juu ya wahitimu wengi wa vyuo kupenda kuajiriwa serikalini ilhali kampuni binafsi ndio zinazoongoza kwa kulipa mishahara minono?
Mtu yuko radhi kuacha kazi kwenye kampuni binafsi yenye mshahara wa 1.5M na kwenda kupoke basic salary ya 900k serikalini
Je ni job security au fursa za mikopo ukiwa unafanya kazi serikalini?
Au kuna sababu nyingine ya msingi inayopelekea vijana kupenda kuajiriwa serikalini?
Embu
Mtu yuko radhi kuacha kazi kwenye kampuni binafsi yenye mshahara wa 1.5M na kwenda kupoke basic salary ya 900k serikalini
Je ni job security au fursa za mikopo ukiwa unafanya kazi serikalini?
Au kuna sababu nyingine ya msingi inayopelekea vijana kupenda kuajiriwa serikalini?
Embu