Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu sipendi maishani kama kufokewa au kukaripiwa...Private maboss wanafoka sana ,yani akijisikia leo kukupiga beat anakufokea tu kama mtoto wake mamaeee sana😬😬😬
Leo nimeenda kwenye goli fulani, kufika tu nikakuta sura mpya. Nikauliza akina fulani wako wapi, nikaambiwa wamehamishwa.Private maboss wanafoka sana ,yani akijisikia leo kukupiga beat anakufokea tu kama mtoto wake mamaeee sana[emoji51][emoji51][emoji51]