Unadhani kwanini vijana wanapenda sana kuajiriwa serikalini kuliko kampuni binafsi?

Unadhani kwanini vijana wanapenda sana kuajiriwa serikalini kuliko kampuni binafsi?

Hahahaha. Umeongea fact sana. Hata Mimi nawashangaa wanaojenerolize. Watu tuko private and we have all benefits ambazo watu wa serikalin wanaozipata ni wale top positions
Mkistaafu huwa mnapewa yale malipo ya kila mwezi huko private?
 
private kuna kujuana serikalini unaweza kufanya kazi bila kupatilizana na mtu ukauzu mwanzo mwisho hakuna mtu anapunguza hela ila private yule manager unamuona kama mumgu akikuchima umeisha hata kama ni chki zake binafsi unaachishwa

Then private ubinafsi kwa sana unaweza kutolewa aakaingizwa mtu mwingine ndugu yao
 
Mkistaafu huwa mnapewa yale malipo ya kila mwezi huko private?
Taasisi ninayofanya kazi ninakatwa NSSF na mwajiri wangu pia anapeleka michango yetu kwa mjibu wa Sheria. Nikistaafu napata mafao yangu Kama ilivyo kwa wafanyakazi wa serikali
 
Je nini mtazamo wako juu ya wahitimu wengi wa vyuo kupenda kuajiriwa serikalini ilhali kampuni binafsi ndio zinazoongoza kwa kulipa mishahara minono ?

Mtu yuko radhi kuacha kazi kwenye kampuni binafsi yenye mshahara wa 1.5M na kwenda kupoke basic salary ya 900k serikalini

Je ni job security au fursa za mikopo ukiwa unafanya kazi serikalini ?

Au kuna sababu nyingine ya msingi inayopelekea vijana kupenda kuajiriwa serikalini ?

Embu
Fikiria unapewa gari, posho, na mshahara wako upo palepale halafu kazi yenyewe unaenda kusimamia mkandarasi asiibe sementi kwenye zege na umeambiwa asizidishe kiasi fulani. Yaani unakaa tu pale kumwangalia unakula posho na kurudishwa nyumbani kwako.
 
Ukiwa na uoga wa maisha Serikalin panakufaa Ila sidhani Kama naweza kushawishika kufanya kazi serikalin labda vitengo nyeti. Zipo sehemu private Zina ubabaishaji lakini siyo zote. Yapo mashirika yamenyooka na hayana ubabaishaji na mshahara ukiingia unakuta akaunti imenona siyo mshahara wa serikali pesa ya nyanya
Mtu wangu wa karibu anafanya kazi kampuni binafsi mshahara milioni tatu hiyo ni basic salary. Ana bima ya strategies. Easter na Xmas wanapokea double salary, wana overtime na fedha za likizo. Ni kampuni ya wageni kutoka Holland lakini boss wa tz ni mtanzania. Ndugu huyo boss ana mdomo balaaaa na akisema neno moja tu kwa hao wazungu wenye kampuni kazi unafukuzwa. Yaani huyu ndugu yangu ana stress balaa na ulifika muda wa kujaza fomu za performance kazini chini ya huyo boss anakwambia wanatamani asiwepo balaa zaidi siku ya ku renew mkataba.
 
Mtu wangu wa karibu anafanya kazi kampuni binafsi mshahara milioni tatu hiyo ni basic salary. Ana bima ya strategies. Easter na Xmas wanapokea double salary, wana overtime na fedha za likizo. Ni kampuni ya wageni kutoka Holland lakini boss wa tz ni mtanzania. Ndugu huyo boss ana mdomo balaaaa na akisema neno moja tu kwa hao wazungu wenye kampuni kazi unafukuzwa. Yaani huyu ndugu yangu ana stress balaa na ulifika muda wa kujaza fomu za performance kazini chini ya huyo boss anakwambia wanatamani asiwepo balaa zaidi siku ya ku renew mkataba.
Ni kweli ndugu hayo yapo kwa baadhi ya Makampuni. Lakini tukumbuke piaa maboss watata, wakatili na wenye majivuno Kama hayo wapo pia badhi ya taasisi za serikali. Kama watumishi wanachapwa viboko na ni serikalini.
 
Je nini mtazamo wako juu ya wahitimu wengi wa vyuo kupenda kuajiriwa serikalini ilhali kampuni binafsi ndio zinazoongoza kwa kulipa mishahara minono ?

Mtu yuko radhi kuacha kazi kwenye kampuni binafsi yenye mshahara wa 1.5M na kwenda kupoke basic salary ya 900k serikalini

Je ni job security au fursa za mikopo ukiwa unafanya kazi serikalini ?

Au kuna sababu nyingine ya msingi inayopelekea vijana kupenda kuajiriwa serikalini ?

Embu
Kwa sababu ni wajinga
 
Mm wazazi wangu walikuwa waajiriwa serikalini,walikuja kushika pesa nyingi ya mkupuo baada ya kustaafu hivyo iliwawia vigumu kujua wawekeze wapi pesa zao.
Kimsingi ajira za serikali ni nzuri kwa usalama wake ila zinalemaza wengi wao kutokufikiri nje ya box na kuwazia kupata nafasi ya uzeeni.
Wakati huku private sector unaweza shika pesa ya mstaafu around 100M ukiwa bado una miaka 30-40 na kukupa uwezo wa kufanya mishe nyingi ambapo bado uwezo wa mwili na akili ni mkubwa sana,hivyo kukupa uwezo wa kumiliki pesa ndefu sana ukifika miaka 60+ na kutowaza habari ya pension ya laki kadhaa kwa kila mwezi.
Kila eneo linahitaji nguvukazi/watu hivyo ukipata ajira serikalini sawa na ukipata sector binafsi sawa.
Wote tuna tegemeana na tunajenga nchi moja.
 
Fikiria unapewa gari, posho, na mshahara wako upo palepale halafu kazi yenyewe unaenda kusimamia mkandarasi asiibe sementi kwenye zege na umeambiwa asizidishe kiasi fulani. Yaani unakaa tu pale kumwangalia unakula posho na kurudishwa nyumbani kwako.
yaani mimi nkifikilia iyo na nkatafakali na soko la ajira lilivyo gumu naona angalau niende zangu kusomea driving angalau niendeshe ata viongozi serikalini jamani
 
Kuna mzee mmoja ana miliki kanisa na kampuni ya ulinzi,kila siku anampambamia mwanae atoke kampuni ya ulinzi aende serikalini.unapata picha kuwa anajua anacholipa hakimlipi mwanae.
 
Back
Top Bottom