Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Wee nenda kabusu jiwe huko iwachangia saudi arabia mshiko.Masaa sabini na mbili yameisha Iran kaishia kubweka tuu hajafanya kitu.Nipo hapa Phuket Thailand, waisrael kibao wamekimbia huko na wanasema labda hawatarudi kabisa.
Poleni sana we lini utaenda lala chini ya mwembe unaweza muona Yesu 😄
Lini utaenda onyesha supu zako kanisani? We ndiye umpangie Iran sa ngapi apige, katazame Breaking news ya Al Jazeera. Iran anamjibu Israel sitaki unibembeleze hata utume marafiki zangu wanisemeshe kipigo kinakuja tu. We kaa mkao wa kuliwa tu 😄Wee nenda kabusu jiwe huko iwachangia saudi arabia mshiko.Masaa sabini na mbili yameisha Iran kaishia kubweka tuu hajafanya kitu.
Ogopa sana mtu aliyekaa kimya anakusubiri.
Ikupige weweMarekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.
Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.
Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?
Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Mkuu mbona hatusikii wayahudi wakiuliwa huko Iran kama wapalestina wanavyouliwa na Israel? Hali yakua wapo wayahudi wa kutosha tu IranWananchi wa Iran waiondoe hiyo Serikali ya Kidini waweke Serikali ya Kisecular wataishi kwa Amani na Majirani zao wote.
Serikali ya Kiislamu katiba yake ni Quruani na Quruani inasema wasake Makafiri na Wayahudi popote pale walipo na kuwaua, hebu Imagine?!
Tuko 2024 fitna za Karne ya saba hazina nafasi.
Kwa taarifa yako Iran ikiingia vitan na Israel waarabu wataisaidia Israel. Ujasusi mwingi wa Israel ndani ya Iran wanaidiwa na waarabu.Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.
Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.
Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?
Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Chakufanya Iran ahakikishe kwanza amejidhatiti kwa mifumo ya ulinzi wa anga katika maneno yote sensitive, cha pili afanye utafiti wa kina kwamba ni aina gani ya makombora ambayo hayawezi kuzuiwa na mifumo ya ulinzi ya adui pia afahamu kwamba kadiri kombora linavyosafiri kwa umbali mrefu ndivyo uwezekano wa kudunguliwa unakuwa mkubwaMarekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.
Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.
Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?
Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Iran atapa kipigo cha Mbwa kokoMarekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.
Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.
Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?
Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Imimine mvua za makombora ya ballistic na drones kama zoteMarekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.
Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.
Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?
Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
WW1 marekani hakuhusika kwenye vita mpaka pale Ujerumani alipozamisha Meli za marekani zilizokuwa zikipeleka vyakula Uingereza ndipo Marekani akaingia rasmi kwenye vita dhidi ya Ujerumani na kumaliza 1WW. Hapo ndipo Marekani akaja na plan ya kutengeza uchumi wa bara zima la Ulaya baada ya uharibifu uliosababishwq na vita vya kwanza vya dunia.Mimi nadhani wazamishe meli za Marekani na kuipindua serikali ya Jordan kwa wakati mmoja.
Mbona unaninukuu nikiongelea kingine na wewe unaniuliza kingine.Punguza chuki mkuu uongeze siku zako za kuishi
☢️☢️☢️☢️NUKE☢️☢️☢️☢️Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.
Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.
Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?
Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
We jamaaaaaaa daaahWajaribu pia kisomo😎
Shida ndio hawawezi, implication moja wapo ni kwamba kuzisha meli ni umenunua ugomvi na mmarekani direct, itan hawez fanya ujinga huoMimi nadhani wazamishe meli za Marekani na kuipindua serikali ya Jordan kwa wakati mmoja.
Idara za ujasusi kwa muda mrefu zinatafuta vita na Iran na ktk hili mpango ume tick hii vita itairudisha nyuma Iran miaka 100. Keep coolMarekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.
Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.
Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?
Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
True mtu aside kujuwa sio rahisi kukuchokonoaIran hawawezi kuifanya Israel chochote cha maana, kwasasa wanafahamika siri zao zote, hawawezi kumsumbua myahudi kwa lolote.
Hizo plan zako zitagharimu miaka 20 hadi 30 bado tu una hasira?Iboreshe kwanza Intelejensia yake, iondoe moles woote.
Iwaambie Jews wote walioko Iran, ni either waondoke au wasijihusishe na ujasusi otherwise wawafukuze wote.
Ijipe muda na special programmes kutengeneza watalaam wa kutosha nk.
Ihakikishe ina viwanda vya kutosha kutengeneza silaha mbalimbali kuanzia nyepesi mpaka nzito kama tanks nk.
Iboreshe naval force yake iwe ya kisasa kwa kushirikiana na North Korea na Urusi.
Kuna makombora na technolojia ikanunue Tu Urusi, China na Russia hasa hizi supersonic missiles.
Wewe unalijua hili ila tehran kwenyewe hawalijuiIdara za ujasusi kwa muda mrefu zinatafuta vita na Iran na ktk hili mpango ume tick hii vita itairudisha nyuma Iran miaka 100. Keep cool