Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa basi tupange siku ya kuninusa😀😀shaka ondoa
aloo! mjukuu wangu unataka kuniuwa na bpSawa basi tupange siku ya kuninusa😀😀
Npo kanda ya ziwa hapa uje nilifanye hilo zoezSijijui nanuka au nanukia dah😀 unaweza hisi uko sawa kumbe watu wanakuvumilia tu, naombeni mtu aninuse🏃♀️
Sijijui nanuka au nanukia dah[emoji3] unaweza hisi uko sawa kumbe watu wanakuvumilia tu, naombeni mtu aninuse[emoji2088]
😀😀 zingatia lengo la uzi mkuu, ni mdomo bibi yangu muache amejipumzikia zake🥱Naomba ninuse kule kwa bb
Nasafiri from huku Sumbawanga nakuja mkuu🤪Npo kanda ya ziwa hapa uje nilifanye hilo zoez
Ukifika kahama nijuzeNasafiri from huku Sumbawanga nakuja mkuu🤪
Na wewe kahama unataka kuninusa? Sasa ukishaninusa wewe kuna haja ya kwenda hadi rock city kweli😀Ukifika kahama nijuze
Rock city ndio mji nilipo ..ukikaribia nambieNa wewe kahama unataka kuninusa? Sasa ukishaninusa wewe kuna haja ya kwenda hadi rock city kweli😀
Sawa sawa mkuu ntakuchekiRock city ndio mji nilipo ..ukikaribia nambie
Hakikisha hiloSawa sawa mkuu ntakucheki
Mbona mimi nafanya yote hayo na bado mdomo unanuka sanaMswaki piga mara mbili
Jioni
fanya flossing ya kawaida kutumia uzi then piga mswaki
Ukimaliza sukutua na mafuta ya nazi na maji ya karafuu
Usisahau kusafisha sehemu ya mwisho ya koo mpk ma utelezi yaishe
Hapa hata uwe na meno mabovu hutanuka kinywa
Sasa ndio nini hii...wee toa suluhisho banaKuna watu wananuka mdomo jamani...
Acheni tu [emoji23][emoji23]