The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
To yeye nampa kabisa ufunguo wa store yangu ya hela ili akajichotee yeye mwenyewe kiasi atakacho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To yeye nampa kabisa ufunguo wa store yangu ya hela ili akajichotee yeye mwenyewe kiasi atakacho.
🤣kazi ninayotaka kufanya ni furaha tosha,sasa ni ngumu kusema nahitaji kiasi fulani ili niache.
na je nani atakupa hicho kiasi cha fedha ili uache kazi?????
ingetakiwa kuwe na mfumo ambao kila mtu anaweza kupata mahitaji maalum kirahisi, haya mambo ya tajiri/maskini yanakandamiza watuSasa kila mtu akipata kiasi anachokitaka na akakaa tu bila kazi kutakua na maisha? Hizo hela utazitumia kwenye nini wakati itakua hakuna uzalishaji? Kila mtu akiwa na hela nyingi,vitu vitapanda bei,itafika utanunua kilo ya sukari kwa shilingi laki 5 coz demand itakua kubwa kuliko supply,kuna watu wana hela za kutumia mpaka wajukuu zao ila bado wanafanya kazi,Elon musk,Bill Gates,Trump....
Acha mawazo ya kitoto,kufanya kazi ndio uhai wenyewe na pia ndio huduma kwa wengine.
Hapo pagumu mno!Nimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.
Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?
NIseme kweli? Kwani huo nimesema ni uongo?Weee,😳Sema kweli?
Tukiwa wote sawa utawala unakuwa hamna tena kila mtu anajiona kambaleingetakiwa kuwe na mfumo ambao kila mtu anaweza kupata mahitaji maalum kirahisi, haya mambo ya tajiri/maskini yanakandamiza watu
Nzuri hiyo! Ashindwe yeye.To yeye nampa kabisa ufunguo wa store yangu ya hela ili akajichotee yeye mwenyewe kiasi atakacho.
ndo vizuri, ubepari mbaya sanaTukiwa wote sawa utawala unakuwa hamna tena kila mtu anajiona kambale
Mfumo wa dunia hauko hivyondo vizuri, ubepari mbaya sana
dah, hapo kwenye mungu sasa😂Mfumo wa dunia hauko hivyo
Hata mungu mwenyewe alivyo iumba dunia aliweka matabaka
Eeeh muumba wa vyote kwan kuna ttz 😄dah, hapo kwenye mungu sasa😂
lakini bado watu wanapambana wawe na kila kituUkiwa na hela nyingi ulimwengu hauwezi kuwa na vibe kwako.
Yani stimu ya dunia kuifaidi vizuri unatakiwa usiwe special sana uwe ume balance hivi.
Ukiwa na kila kitu life linakuwa bored ni sawa na uachwe uishi peke yako hii dunia ujimilikishe chochote. Hatuta enjoy
ANHA,SAWANIseme kweli? Kwani huo nimesema ni uongo?
😎
Tamaa ni kitu cha asililakini bado watu wanapambana wawe na kila kitu
Nimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.
Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?
uwe huru,Usifanye kazi ili iweje?
Umewahi kufikiri kwenye hii miaka ya artificial intelligence robots zikianza kuwepo hadi vijijini utafanya kazi gani? Miaka 30 iliyopita ukiwa na taarifa ya kupeleka kijiji jirani ulikuwa unatuma mtu, leo taarifa hiyo hiyo unaipeleka sehemu yoyote ulimwenguni kwa sekunde chache. Kwa hiyo hoja ya mwandishi ipo na inafikirisha sana sababu huko mbeleni tutakuwa hatuna kazi za kufanya anyway.Kuacha kufanya kazi is the beginning of your end. Uache kufanya kazi ili ufanye nini sasa? Ulale au upulizane au uangalie TV siku nzima? Huo ni uzwazwa. Sema ufanye kazi under no pressure. Ufanye mambo kwa ufanisi.