Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ukiona simu hazipokelewi tuma sms.huo ujinga nimeukuta kwa watu wengi sana. kuna mmoja ni hakimu mstaafu nilimtafuta mara kadhaa hakutaka kupokea cm akapishana na mchongo wa kama 10million. baada ya wiki namfuata live namuuliza shida nin nilikuwa nakupigia cm cku nzima,
akanambia uwa sipokei namba ngeni, nusu nimkate kibao,
watu wa namna iyo wengi wanakuaga wahalifu