Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Kama haha hizo sms
Hakuna kifurushi cha kupiga kisicho na SMS...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haha hizo sms
Kama hajui kuandika/kusoma?Hakuna kifurushi cha kupiga kisicho na SMS...
Sasa si unapiga, sh 500 unapata dk 25 mitandao yote...Sio lazima kuchat WhatsApp, sio kila mtu ana WhatsApp.
Sio lazima kila saa kuongea, ndio maana kuna options tofauti. Wenzetu wanapenda voice message kuliko vingine..Sasa si unapiga, sh 500 unapata dk 25 mitandao yote...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uwiiiiihMimi nna madeni kama ya JMT sasa nikiona namba ngeni tu mapigo ya moyo hubadilika ghafla hivyo kupokea ni bahati nasibu tu.
Nilikuwa nataka nikuite bana[emoji23]Sipokei no ngeni.
Na akituma text bas ajitambulishe, vingnevyo sijibu na nafuta text enyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki mie kero.
Hebu jaribu kwangu nione. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi namba ngeni napokea,hata nikikuta m/call Ninakuwa na shahuku ya kujua ni nani??
Lakini kama namtafuta mtu kwa mara ya kwanza,naanza mtumia sms kuwa mie mawardat,,,,,,,,,,,,,,,,
Sio kila mtu ana simu yenye app ya tsup, Lol.Hizi enzi za WhatsApp nani anajiunga na ma sms?
Najua hata nikituma sms utafuta[emoji3061]Hebu jaribu kwangu nione. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipooooh hapa.Nilikuwa nataka nikuite bana[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] c unajitambulisha au?Najua hata nikituma sms utafuta[emoji3061]
[emoji23][emoji23][emoji23]ngoja niendeNipooooh hapa.
Afu kule ulikooniita jana mbna bado chimbo sijalipata? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina ila nikitaka kumtafuta mtu ambaye nahisi hana namba yangu basi natuma message.Wewe una namba ya kila mtu ?
[emoji23][emoji23]Ukipata dharura sms zinaondoka kwenye hiyo simu !!??