Wanaopiga pia msiwapangie mpaka wawatumie sms ili mpokee simu zao.Jaman kila mtu ana uhuru na matumizi ya simu yake...wewe kama kuna watu huko huwa unawapigia hawapokei achana nao na pia wewe ambae unapokea simu ya kila mtu pia endelea hivyo hakuna mtu atakupangia usipokee simu wakati huo ni utaratibu wako. Haya maisha tunatofautiana sio kila unachokiamini wewe lazima na wengine waamini hivyo.
Bila shaka wewe ni mhalifu na hujiamini.ukinipigia sipokei acha sms. mwingine anapiga kama mara 8 mfululizo. tambua hata kama mimi ndo mwenye shida sitapokea simu yako jumla. unanitia hofu na kunirusha roho
Kwakuwa wewe ni maji lazim watu wanywe. Mjinga kabisaHata mimi huwa sina kawaida ya kupokea namba ngeni...
Kama una shida kweli utatuma SMS
Sio madeni, inatokea tu; kwa mfano kuna wengine huwa wanapigiwa simu nyingi kutokana na majukumu yao, sasa ukiruhusu utajikuta kila siku wewe ni mtu wa kuumiza masikio yako; ndio maana wengine simu zao zinapokelewa na wengine, baada ya kujieleza hitaji lako, ndio unapewa appointment.Ndo uharifu wenyewe huo madeni uoga na kutojiamini.
Siyo Kila mtu ana kaliba ya kutuma ma sms au kujiunga kifurushi Cha sms na dk. Wengine wanajiunga dk TU.
Msikilize,kama ukimskiliza kama haeleweki.Una mkatia una mpiga block.
Kwakuwa wewe ni maji lazim watu wanywe. Mjinga kabisa
Siyo Kila mtu ni mpenzi wa kutuma ma sms ndugu. Mwingine sms Zina expire bila kutumika hata Moja licha ya kuwa na sms 200 na dk 100.Ni kwel ila pia sms zipo .
Uhuru wa simu zao ndio wanisumbue mie?Wanaopiga pia msiwapangie mpaka wawatumie sms ili mpokee simu zao.
Ni uhuru wao kutumia simu zao wanavyotaka kama mnavyotaka nyinyi.
Kama siyo muharifu,tapeli au Mwenye madeni .Pokea sikiliza,kama huelewi.Kata block.Au kata ndo uache kupokea simu zake.Hapana.
Kupokea kila simu ndiyo woga.
Unaogopa lawama kwamba hupokei simu.
Unaogopa kukosa kujua anayekupigia simu anataka kukuambia nini.
Mimi nisiyepokea namba nisiyoijua ndiye siogopi.
Siogopi lawama kwamba sipokei kila simu.
Siogopi kukosa kujua anayenipigia anataka nini.
Nishajiwekea kanuni sitaki usumbufu wa simu za kutoka namba nisizozijua na naifuata kanuni yangu kwa uhuru wangu bila woga.
Simu yangu, kanuni zangu, sina woga.
Mfuko ni mzuri muda wote unanukia. Vipi siku ukichacha? UtapigaMimi namba ngeni sipokei hata iweje, ila baada ya muda naipigia.
utageuka opereta sasaNdo uharifu wenyewe huo madeni uoga na kutojiamini.
Siyo Kila mtu ana kaliba ya kutuma ma sms au kujiunga kifurushi Cha sms na dk. Wengine wanajiunga dk TU.
Msikilize,kama ukimskiliza kama haeleweki.Una mkatia una mpiga block.
Tena raha sana...Dunia hii ina watu maamuma kweli, unatusi tu watu usiowajua...
Unaumia ukiwa wapi[emoji16][emoji16]
Zinaboa Nini wakati wewe ndiye mwenye maamuzi na simu YakoMimi namba ngeni nilikuwa sipokeagi kabisa, Yani mpaka utume msg kuwa Mimi ni Fulani ndipo nitakupigia au lah upige mara nyingi ndiyo nitajua uyu Kweli ana shida nitakusikiliza, hii tabia ilishasemwa Nyumbani mpaka basi. Na Sina madeni, sina mchepuko, sio tapeli Ila tu sipokeagi.
Ila kuanzia mwaka Jana, last born alivyoenda bweni, mimi napokea namba ngeni zote, Yani ata ukibip tu Mimi nishapiga fasta, silembi. Ngoja amalize shule nirudie utaratibu. Namba ngeni muda mwengine zinaboa[emoji849]
Hivi kama unampigia mtu simu hapokei si unaachana nae. Hawa ndio wale wasumbufu atapiga simu hata mara 20 na ukipokea utaskia nilikua nakusalimia.Dunia hii ina watu maamuma kweli, unatusi tu watu usiowajua...
Unaumia ukiwa wapi[emoji16][emoji16]
Namba 30 Kwa siku.Kwamba namba Yako umeisambaza kwenye mitandaoni??Kutopokea namba si lazima kuwe kuogopa kupata challenge.
Kwanza tuelewane hapo.
Inawezekana namba zenye challenge ni zinazojulikana, zisizojulikana zimeonekana hazina challenge.
Unapigiwa simu 30 kwa siku.
Zote zinauliza "Unataka kazi?". Unajibu sitaki.
Sasa hapo challenge iko wapi?
🙌Ni kwel cjakataa nimekubali ,ni pale mtu anapopiga cmu mara nyingi unakuta Hana option nyingine ya Kutuma sms labda ana dakika tu,sawa bac kutopokea ni woga au ni ukosefu wa akili na kujiona wa maana au kuwa na princeple za kijinga HKBWSiyo Kila mtu ni mpenzi wa kutuma ma sms ndugu. Mwingine sms Zina expire bila kutumika hata Moja licha ya kuwa na sms 200 na dk 100.
Sasa dk 100 na sms 200 nianze kutuma sms,Mimi nitajuaje kama na wewe una sms ya kuweza kunijibu.
Wewe pokea nisikilize Ukiona hunielewi nikatie,Ntapiga Tena,nikiona hupokei.Hapo nitajiongeza.
Mbali na hapo una uharifu,hujiamini,uoga,madeni na bad relationship na jamii.
kwakweli namba mpya sinaga haraka nazo hata ukipiga simu naiona nitaiacha iite then baada ya dakika kadhaa au masaa nakupigia.Mfuko ni mzuri muda wote unanukia. Vipi siku ukichacha? Utapiga