Hongera boss 👏👏👏Asiolewe na kadegree kake ajifunze ujuzi mpya mimi nilijifunza kukaanga kitimoto,kukata ,kupima kwa magumashi kumpiga mteja changa la macho kwa mifupa mingi ni ujuzi ambao unatakiwa ujichanganye kweri kweri.Mbili nilijifunza kuchomelea nikapata na kamsaada kutoka kwa bimkubwa wangu.Na nilikua nakaa na mwanamke.Ila ujiandae kuchekwa na ndugu ,jamaa na marafiki.Skills zote hizo nilizipata kwa ada sawa na bureee.View attachment 2392327View attachment 2392328
eb naomba elimu kdg kuhus kutngneza account ya IG ambay itanlipaKaka umeichukulia simple sana
Kutengeneza page insta hadi ikubalike na watu kukupa matangazo ya maana sio process ya kuchukua miezi miwili unless uanzishe page inayoshabihiana na ngono au uchawa wa mastar
Pia twitter au linkedin hazipo overcrowded lakini bado unatakiwa kuwa na area of expertise ya kukufanya ukuze following kwa haraka kupitia niche flani (yaani kuongelea kitu specific kwa watu specific)..
Labda Facebook kwa sababu haiki bundle lakini napo itabidi auze vitu kupitia magroup.. Maana hapa nina watu nawajua hawana maduka Ila smartphones tu, wanapiga picha za bidhaa kariakoo na kuzisukuma kwenye groups za Facebook hata 20 per day na inawalipa.
Ulichoongea cha ukweli au kitu nilichoexperience binafsi, hivi vitu ukivianzia chuo ni rahisi zaidi maana muda upo na hakuna presha wala expectations za nje. Ila kumshauri mtu kuhusu social media kwa sasa ambapo hata kuweka mb 500 per day ni mtihani , kazi ipo
CONTROLA njoo kitaa hiki.. Uwepo wako unahitajika brother
matatizo km yapi mkuuMuwage na huruma aisee !!Kumbuka huyu dogo kamaliza chuo,anamatarajio makubwa .So anaporudi home mnataka awe mshona viatu au mchoma mahindi? Ni kumuumiza.Fikiri jamaa ambaye alimwacha la 7 ,ana bajaji yake.Then dogo na degree yake awe mchoma mahindi kweli?
Mimi nafikiri wazazi na walezi wa vijana walio maliza vyuo ndo mna matatizo makubwa.
Shukrani sana and I'm humbled mkuu, kuishi ni kujifunza, tunashea tulichonacho 🙏We jamaa ur so brilliant
Master mtiti wake ulikuwa sio wa kitoto ni kukomaa na kuswallow your pride.Hongera boss 👏👏👏
Kaka mimi huko sio angle zangu na ni ngumu kukushauri kama hauna kitu unachokifanya 😁😁😁eb naomba elimu kdg kuhus kutngneza account ya IG ambay itanlipa
shukran sana mkuu kwa elimuKaka mimi huko sio angle zangu na ni ngumu kukushauri kama hauna kitu unachokifanya 😁😁😁
Lakini knowledge general ya social media
Instagram wengi ni watu wa mijini, city life, kuvaa kupendeza. Kwa hiyo kama unataka kuanzisha page ya biashara bhasi cheza na vitu kama hivyo
Zile nguo, accessories, bags, mikufu, saa
Ubaya wa insta kuikuza bila kuifanyia paid ads yani matangazo ya kulipia ni mtihani
Ila kama ni Facebook, deal na magroup. Marafiki zangu baadhi walinambia, kutumia Facebook groups zile unakuta za kuuza na kununua, una uhakika wa kupata wateja kuliko insta
Cha msingi tu lugha iwe nzuri,
onesha bei mambo ya bei inbox huwa yanawakata wengi,
picha ziwe halisi maana mapicha ya kudownload online hayaaminiki watu watakuona mzushi
Na kadhalika
😁😁 master ukaiweka bachelor pembeni , safi sana maana kibongobongo tunaelewa ajira tu, vingine hamna kitu zaidi ya watu kukuona unaunga ungaMaster mtiti wake ulikuwa sio wa kitoto ni kukomaa na kuswallow your pride.
Pamoja mkuu 🙏🙏shukran sana mkuu kwa elimu
amin 🙏🙏🙏Asikate tamaa, kufa ndio kufeli.. Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi siku zote, ataleta neema zake tu
🤝🤝🤝Pamoja mkuu 🙏🙏
pongez kwak mkuu🤜🤜Sio bachelor tu nilikua na masters na mchongo wa kazi ulinikuta huko huko kwenye kubangaiza.View attachment 2392343
Hongera brother maana vitu vilikuja kwa wakati sahihi, saa hii unatumia story yako kutuinspaya👏👏👏Sio bachelor tu nilikua na masters na mchongo wa kazi ulinikuta huko huko kwenye kubangaiza.View attachment 2392343
Shukrani na kama upo Iringa kwa shida ndogo ndogo za Kimahakama ,polisi,sheria.Halla at your boy .pongez kwak mkuu🤜🤜
sipo iringa ila nitakucheck mkuu kuna vitu natak nkuuliz kdg kuhus sheriaShukrani na kama upo Iringa kwa shida ndogo ndogo za Kimahakama ,polisi,sheria.Halla at your boy .
Freesh sana ,wadau pia wako maeneo mbalimbali tutakuunga na kila kitu kitakaa freesh.sipo iringa ila nitakucheck mkuu kuna vitu natak nkuuliz kdg kuhus sheria
sawa mkuu🤝Freesh sana ,wadau pia wako maeneo mbalimbali tutakuunga na kila kitu kitakaa freesh.
Asiuze Laptop kwani anayo hiyo laptopInategemean na alichosomea, interests, skills alizonazo na eneo alilopo
Ila generally, Asiuze laptop lakini pia ajichanganye kwenye conferences za vijana za tech,
Kama ana simu bhasi aingie twitter na linkedin na aingie serious kujifunza kwa vijana wenzie
Akijichimbia serious hawezi kukosa kitu cha kufanya japo hii tech industry nayo hadi upate watu wa kukulipa vizuri.. Lazma usote
Kumbe unaozeshwa, unaoewa na vituAkisha OA akili itamkaa tu atajua cha kumlisha, umjini umetuharibia vijana kijijini ukimaliza shule tu unaozeshwa unapewa na kaplot na tumbuzi tung'ombe maisha yanaanzia hapo