Unapomuona mke wako hana furaha na hana amani inasumbua sana

Kunywa soda nitakuja kulipa
 

Kaka umeoa? Km bado ni piem una kitu wewe [emoji12]
 


Tatizo lipo katika wewe kuuliza hayo maswali, acha kuuliza week uone kama yeye ajaanza kukuuliza hayo maswali. Mmeshafanywa watumwa na hawa wanawake
 
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Sema wanangu nyie wenye wake hongereni ..ila Mimi sasa naona kama nimekosea hivii 😅😅 Jana pisi yangu eti imenituma nikamletee makongoro kweli ?mi naona huu ni unyanyasaji wa kijinsia
 
Mpige pombe! Fanya umekosea njia kuu na kwenda mtaroni! Hizi njia zitarudisha fahamu zake
 
upewe maua yako mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…