Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Wasomi ni wengi kazi kuliko nafasi za kazi zilizopo.
Kama shule IPO.
Tackle lipo
Sura ni yenyewe kabisa
Shape kama imechongwa .......In short ni Pisi Kali, hauna haja ya kutafuta kazi.....Tutakutafutia pesa na ww utachagua ule pesa ya nani?
 
Kama shule IPO.
Tackle lipo
Sura ni yenyewe kabisa
Shape kama imechongwa .......In short ni Pisi Kali, hauna haja ya kutafuta kazi.....Tutakutafutia pesa na ww utachagunia ule pesa ya nani?
🤣🤣🤣🤣 Basi jamani inatosha.
Tumewaelewa.
 
Wape vidonge vyao👌👌👌👌Na Mimi nawaongezea;Wanaume wanataka wanawake wachakarikaji Babu wee👌👌👌Anajua akitoa pesa ya umeme,mwanamke atatoa ya maji.Mambo kusaidiana ndo yanakuwa 🔥🔥🔥🔥🔥.Hata wakati wa kuchakata mbususu,mwanaume anakuwa na utulivu,goli 3 Ni kawaida.
 

😀😀😀

Hawaringi ni kwamba hawajiamini!
Kuna kuringa na kutokujiamini watu wanashindwa kutofautisha.
 
Dunia ni ya watu wenye nguvu, na inamilikiwa kinguvu, na nguvu hizo ni Pesa, madaraka, uzuri na vipaji.

Kikawaida Unatakiwa uwe na kimoja kati ya hivyo nilivyovitaja na kimoja kitatafuta kingine, kwa kuanza na pesa maana kila kitu kinapatikana kwa pesa. Iwe ke au me tuitafute pesa.

Nimesema kikawaida unatakiwa uwe na angalau kimoja kati ya hivyo, lakini taikoni amesema kuna fungu la kukosa pia. Unaweza kutafuta na usipate.
 
😀😀😀

Hawaringi ni kwamba hawajiamini!
Kuna kuringa na kutokujiamini watu wanashindwa kutofautisha.
Asante umenifundisha kitu...mimi huwa nahisi wanaringa kumbe ni kutojiamini...unakuta mwanamke anaonekana ana maisha magumu balaa akikupita ananuka ile shombo ya chupi chafu..halafu unamuita anazingua huwa nabaki nashangaa tu🤔🤔
 
Hata hizo pisikali wengine wanatumiwa tu na hao wenye pesa zao. Yaani ili uyafurahie maisha, uwe na hela ukutane na mwenye hela. Otherwise hata huyo mwenye hela atazitumia hela zake kujineemesha kwako...kula mbususu yako na kukulipa ujira wako afterwards.

Ukiona mwanaume kajibanza na mdada sura personal ujuwe there's something hapo katikati, sio bure.

Ninachojua, maneno haya wadada wanayatumia ku-inflict pain kwa wanaume, "tafuta pesa", "huna uwezo wa kunit**ba vizuri...hunifikishi".
 
Mwanamuke ni pesa, mwanamuke matunzo.
Pesa inaleta tacko.
Pesa inaleta rangi ya chungwa.
Money is everything.
Nimedanga hapa mjini nimemaliza wanaume wote pesa, sasa hivi ninafanya kuwarudia tu.
Pesa ninayo, nimezaliwa mzuri, nimezaa watoto wazuri na vibosile.
Ila umalaya siachi wananitaka wenyewe kuanzia watoto mpaka granny zao.
 
Umeongea madini Sana mkuu.Huo ndo ukweli halisi na Mimi siku nikiimarika kiuchumi nitapiga chini mademu wote nilionao Sasa hivi na kuanza kutafuta pisi za viwango vya pro max ( nimeassume mademu nilionao saizi sio piss kali kivile[emoji23])
 
Njoo hapa mwenge mamdogo tupige vyupa viwili vitatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ninapenda mtu muwazi Kama wewe
 
[emoji50][emoji50]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee umeandika bonge moja la point ambayo ndio hufanya hawa viumbe waishie wengi wao kua single mother, unakutana na mwanamke siku ya kwanza tayari nywele zimefumuka, tayari kodi ya nyumba yake imeisha, tayari hana muda wa maongezi, tayari simu yake imepotea hivo ile anayotumia kaazima, tayari mama yake mgonjwa yote hayo ndani ya siku saba toka mmeonana unawaza huyu tusingekutana ingekuaje? Unaona kabisa hastahili kusaidiwa zaidi azalishwe na kuachwa maana hajitambui, hakuna mwanaume ataeshindwa kuhudumia mwanamke hata kwa maumivu kama mwanamke mwenyewe anajitambua na kujielewa mbona hata wahuni kwa smart ladies hutangaza ndoa mapema sana.
 
Umeongea madini Sana mkuu.Huo ndo ukweli halisi na Mimi siku nikiimarika kiuchumi nitapiga chini mademu wote nilionao Sasa hivi na kuanza kutafuta pisi za viwango vya pro max ( nimeassume mademu nilionao saizi sio piss kali kivile[emoji23])
Utaishia hivyo hivyo[emoji1476]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekupenda bure[emoji7]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…