The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Concept ya marobot ina nifanya niamini kuwa binaadamu Aliundwa piaSasa hivi wanamezeshwa akili ila ipo siku wataanza kutumia akili zao kufanya maamuzi yao wenyewe. Au kichaa mmoja atayabadili akili yaanze kufanya anachotaka yeye.
Mengine yanalima shambani ila likiishiwa chaji linadondoka chini na jembe inabidi ukaliokote ujitwike kichwani ukalichajilindo anaweza kuingia
nilijaze chaji likae huko nje lipambane na vibaka lionje joto ya jiwe
Hata mimi nimewaza ivo vipi haya Maroboti yakawa mengi let say Tanzania yakawa kama maroboti 50m...ghafla yakahakiwa mfumo wao si itakuwa kisanga.Sasa hivi wanamezeshwa akili ila ipo siku wataanza kutumia akili zao kufanya maamuzi yao wenyewe. Au kichaa mmoja atayabadili akili yaanze kufanya anachotaka yeye.
Hapo bado hajakuibia. 😂Kama linauzwa $30,000 ambayo ni Million 100. Kwanini maboss wasinunue.
Maana kumuajiri mtu kwa mshahara wa Mil 3 kwa mwezi, na bado jumamosi na jumapili na sikukuu haji. Na akija anafanya kazi saa 2 hadi saa 9 tu.
Si hamuyachaji tu au mnatoa betri tuone yatafanya nini? Mnakuza na kuhofia vitu vya hovyo sana.Sasa hivi wanamezeshwa akili ila ipo siku wataanza kutumia akili zao kufanya maamuzi yao wenyewe. Au kichaa mmoja atayabadili akili yaanze kufanya anachotaka yeye.
Hayachoki wapi au mi sijui. Si yanatumia umeme au yanachajiwa? Labda mi nipo zama za giza sijui yanajiendeshaje.Duh! Hapa nimetoka kutizama movie inaitwa subservience ya 2024 ikizungumzia hizo AI robots.
Robot lina hadi adult mode, jamaa alipoweka adult mode, robot likaanza kurembua jamaa akagegeda robot halafu mkewe si akajua😂
Robot linafanya kazi zote nyumbani.
Na haya maendeleo ya AI, kila siku watakuwa wana update hizo robots, pia zitatokea kampuni shindani ikiwamo za China, hapo ndipo binadamu wataanza kuandamana kupinga uwepo wa robots...
Watu watapoteza ajira, migodini, kampuni za ujenzi,viwandani, hospital hata surgery yatafanya. Robot halichoki halafu lina nguvu kuliko mtu na akili za AI.
Sijui tumejiandaaje kuanza kucompete ajira na aga maroboti.
Huyu jamaa anapenda Kiki sana ni Copy paste maarufu tu. Robot kama haya yamejaa kibao Japan, Taiwan na Asia ya mbali ila husikii hizi kelele, na sio Trial yanafanya kazi kabisa, Hotel zake zilikua maarufu sana wakati wa Korona.Tajiri mwenye ahadi nyingi Elon Musk wakati wa uzinduzi wa Tesla Robotaxi alionyesha pia humanoids robots zake zinazoitwa Optimus.
View attachment 3122695
Kutoka na presentation yake aliahidi kwamba Optimus inaweza kufanya chochote unachotaka. Akazidisha akasema “Optimus ni biggest product ever katika human kind” na inaweza ikawa mwalimu, akawa mlezi wa wanao, akakutengenezea bustani, ukamtuma dukani, mkacheza nae music, akawa anafanya kazi bar kama muhudumu nk.
View attachment 3122696
Na ata baada ya event yake ya We Robot wakati wa after party, Optimus walisave drinks kwa waudhuriaji.
View attachment 3122698
Kuhusu bei itauzwa $30,000 tu!
Sijui tumejiandaaje kuanza kucompete ajira na aga maroboti.
Mzee hizo ni machine, ni sawa na gari itembee km 500 bila kusimama binadamu hawezi.Hayachoki wapi au mi sijui. Si yanatumia umeme au yanachajiwa? Labda mi nipo zama za giza sijui yanajiendeshaje.
Technolojia inazidi kubadilika mkuu, sasa hivi kuna robot ikifika percent fulani inaenda yenyewe kwenye charging port yake na kutulia, (Nitakuwekewea video clip).Si hamuyachaji tu au mnatoa betri tuone yatafanya nini? Mnakuza na kuhofia vitu vya hovyo sana.
Nilikua najua yanafanya zile programmed activities kumbe ya aweza ata kusikiliza mfano ukase a nataka bia aina flani na likaenda lenyewe kuleta?Huyu jamaa anapenda Kiki sana ni Copy paste maarufu tu. Robot kama haya yamejaa kibao Japan, Taiwan na Asia ya mbali ila husikii hizi kelele, na sio Trial yanafanya kazi kabisa, Hotel zake zilikua maarufu sana wakati wa Korona.
wangeliwekea mfumo nje ya sura ya mmiliki ukiligusa lipige shati ya kukuziraishaWataliiba lenyewe. Kipati wezi waliiba geti. Yale ya kuslide. Iringa ukiacha mbwa nje kesho hayupo.
Kwanini sisi hapa JF tusimpe heshima ya Dokta Elon Musk🤣😂Tajiri mwenye ahadi nyingi Elon Musk wakati wa uzinduzi wa Tesla Robotaxi alionyesha pia humanoids robots zake zinazoitwa Optimus.
View attachment 3122695
Kutoka na presentation yake aliahidi kwamba Optimus inaweza kufanya chochote unachotaka. Akazidisha akasema “Optimus ni biggest product ever katika human kind” na inaweza ikawa mwalimu, akawa mlezi wa wanao, akakutengenezea bustani, ukamtuma dukani, mkacheza nae music, akawa anafanya kazi bar kama muhudumu nk.
View attachment 3122696
Na ata baada ya event yake ya We Robot wakati wa after party, Optimus walisave drinks kwa waudhuriaji.
View attachment 3122698
Kuhusu bei itauzwa $30,000 tu!
Sijui tumejiandaaje kuanza kucompete ajira na aga maroboti.