Unatafuta msaidizi wa nyumbani? Kwa Million 100 jipatie Optimus Robot kutoka kwa Elon Musk

Unatafuta msaidizi wa nyumbani? Kwa Million 100 jipatie Optimus Robot kutoka kwa Elon Musk

Tajiri mwenye ahadi nyingi Elon Musk wakati wa uzinduzi wa Tesla Robotaxi alionyesha pia humanoids robots zake zinazoitwa Optimus.

View attachment 3122695
Kutoka na presentation yake aliahidi kwamba Optimus inaweza kufanya chochote unachotaka. Akazidisha akasema “Optimus ni biggest product ever katika human kind” na inaweza ikawa mwalimu, akawa mlezi wa wanao, akakutengenezea bustani, ukamtuma dukani, mkacheza nae music, akawa anafanya kazi bar kama muhudumu nk.

View attachment 3122696

Na ata baada ya event yake ya We Robot wakati wa after party, Optimus walisave drinks kwa waudhuriaji.
View attachment 3122698
Kuhusu bei itauzwa $30,000 tu!

Sijui tumejiandaaje kuanza kucompete ajira na aga maroboti.
Huyu Ellon M anatuonaje ??? Pumbavu zakeee
 
Sipati picha nadhani nikipindi ambacho magonjwa ya moyo na vifo vya gafra vitakua hali ilio zoeleka zaidi.
Maroboti kuchimba kabli ni dakika 10 tu na kutifukia hahahaha. Kwahiyo hakutakuwa na hasara.
By the way hii dunia ni kama maana ya maisha inatoka hivi, kwasababu kila siku watu tuna poteza fraha ile ya kweli.
 
Kwa US na EU kuwa na mfanya kazi wa ndani ni expensive na sheria kibao.

Watayanunua sana tu yalee watoto, kupika na kusafisha nyumba.
Kazi za nguvu na akili kidogo kama viwandani, mashambani, driving n.k hizo robots zitachukua nafasi, cause hata sasa mmeona nchi kama UK, Canada n.k wanavyohitaji skilled labor na wakaanzisha policy yao ya skilled immigrants..

Hapa wazungu hawana shida, kazi ipo kwa wahamiaji. Wazungu wanapiga kwenye mshono, baada ya muda utasikia hawahitaji tena skilled immigrants hata wakihitaji ni kwa uchache.
Hii mifumo inaenda kuharibu dunia, mpango ni kama kupunguza watu duniani ili wabaki wachache maana kama watu hawata kuwa na ajira ninkuwa hawana uhakika wa kula watakufa na njaa.
Je kizazi kitakacho lelewa na roboti kitakiwa na tabia gani?
Dunia ya hao watoto kwenye utu uzima wao unaweza fikiria watakuwa na ubinadamu kweli? Hii ni zaidi ya hatari
 
Tajiri mwenye ahadi nyingi Elon Musk wakati wa uzinduzi wa Tesla Robotaxi alionyesha pia humanoids robots zake zinazoitwa Optimus.

View attachment 3122695
Kutoka na presentation yake aliahidi kwamba Optimus inaweza kufanya chochote unachotaka. Akazidisha akasema “Optimus ni biggest product ever katika human kind” na inaweza ikawa mwalimu, akawa mlezi wa wanao, akakutengenezea bustani, ukamtuma dukani, mkacheza nae music, akawa anafanya kazi bar kama muhudumu nk.

View attachment 3122696

Na ata baada ya event yake ya We Robot wakati wa after party, Optimus walisave drinks kwa waudhuriaji.
View attachment 3122698
Kuhusu bei itauzwa $30,000 tu!

Sijui tumejiandaaje kuanza kucompete ajira na aga maroboti.
Nape anunue akaweke ofisi ya jimbo awe anapokea kero za wapigakura wake
 
Wayavalishe sura jamani 😂😂😂 yanatisha ukilala likapita ghafla jamani
 
Back
Top Bottom