hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
- Thread starter
- #21
Wapinzani waliopo wameleta athari gani chanya kwao na kwa familia zao hadi sasa? , si kila siku wanahangaika tu sasa kwanini usitumie akili ukaingia kwenye mfumo ndio uje ubadili mambo unayoona si sawa?Umetumwa na maccm kila mmoja akisema hivo hii nchi itakuwaje si vituko tu acha kujazana uoga