Pole sana kiongozi. Huenda ulikula makande yaliyopikwa vibaya, ukikutana na watu wanaojua kupika kande hutazichukia.Mkuu,
Mimi makande nayachukia sana niliyalaga boarding school with no options Yale makande walikua wakipewa nguruwe wanagoma kula tangia hapo Nika ingia confrontation na neno makande kuliko makande yenyeweππ
Makande ni chakula Cha kuwaulia wanyama walio shindikana marekani yaani chakula hicho sijawai kipenda Abadan I HATE MAKANDE
Kilichonishinda kule ni kunywa damu ya ng'ombe wakati mwinginne wanaikaanga yanatokea mabongemabonge kama maini hivi.Huenda na maisha yao ya mikiki mikiki, ni mazoezi tosha, sisi huku ofisini, ukitoka upo kwenye kibaby walker chako, mitungi, nyama kwa sana, ukitoka kibaby walker unaenda lala, bado mavyakula ya hovyo ni mengi, junks food huku ni kwa sana tofauti na huko vijijini.
Umesahau kitu kimoja tu hapo guess what.........pilipili ya mwendo kasi toa mbegu zote kisha lidumbukize ndani ya bakuli nimeagiza dagaa mwanza hawana mchanga kabisa wasafi then naambiwa debe 25,000 na hapo naambiwa kwamba bei imepanda mwezi umeenda giza.Halafu hizo Dagaa ziwekwe Karanga ya kusaga na siyo nazi... Uchanganye Bamia au nyanya chungu....
Jamani jamani[emoji39][emoji39]
Kuna sehemu ukifika mavyakula wanayokula unaishia kula mikate tu ππ€£Kilichonishinda kule ni kunywa damu ya ng'ombe wakati mwinginne wanaikaanga yanatokea mabongemabonge kama maini hivi.
Hii imeenda [emoji2935]
Ugali aiseeh. Mboga tu ziwe zinabadilika mwaka natoboaNambie msosi gani hata ukiwa unaula mwaka mzima huwezi kuuchoka.
Mimi mihogo na makange ya samaki, ukiniandalia nitakula asubuhi mchana na jioni siku zote za maisha yangu.samaki Hakifu kama nyama
Ushawahi kula ndezi? Nyama yake ni tamu tatizo mtegaji Wa ndezi akiwa mvivu Wa kutembelea mitego yake anaweza waletea ndezi aliyekaa siku mbili au tatu kwenye mtego,Kuna sehemu ukifika mavyakula wanayokula unaishia kula mikate tu ππ€£
Makande ya boarding school miezi 18 with no optionsPole sana kiongozi. Huenda ulikula makande yaliyopikwa vibaya, ukikutana na watu wanaojua kupika kande hutazichukia.
Nilijua tuZa kukaanga [emoji39][emoji39]
Bora ww umenielewa, kuna watu walishajua vitu vya ajabu
Kipi?Chakula ni kimoja tu. Exactly
sili maini, kumbe kuna watu mnayapendamshamba_hachekwi mdogo wangu unashangaa nini?? ππ
Chakula Cha usiku a.k.a unyumba.Nambie msosi gani hata ukiwa unaula mwaka mzima huwezi kuuchoka.
Mimi mihogo na makange ya samaki, ukiniandalia nitakula asubuhi mchana na jioni siku zote za maisha yangu.samaki Hakifu kama nyama
Ndiooo, ya ng'ombe ni mboga yangu pendwa.sili maini, kumbe kuna watu mnayapenda
Vya kuchoma vinaleta kiungulia bana, vya kukaanga ndo vyenyewe πNilijua tu
Sisi wenzenu wa zamani tunakula za kuchoma
Kida kyoNdizi nyama...
Ugali Dagaa wa Mwanza..
Wali Maharage...
Kiburu.
Kipi?
Loh..swali juu ya swali [emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji85] Uko poa?
Loh..swali juu ya swali [emoji16]
Mimi niko poa sijui wewe