hapa kuna kitu sijaelewa,inamaana hotuba anayosoma kiongozi hajaiandika mwenyewe???Ili ujue Tanzania ni nchi yenye watu wa ajabu nikwamba eti kiongozi akitoa hotuba mbovu wanalaumu walioandika hotuba na aliyeongea kwa mdomo wake anaachwa
Unafikiri aliyeongea amekua kitabu kumbe ni mtu
Plus watu walio nyuma yao pia, ni watupu sana. Wamezoea hotuba za vijembe, mihemko.Japokuwa umelielezea suala hili kama vile utani lakini kuna Ukweli mchungu kuhusiana na watawala wetu.
Ilikua ni sawa tu kiswahili kua lugha kuu ya kufundishia kwenye shule za upili mpaka chuo, ni faida kubwa sana kuliko kiingereza, ambacho sio lugha mama ya nchi, hata yale mataifa, yaliomepiga hatua kubwa sana, kwenye elimu, na teknolojia, yameanza na lugha mama kuu ya taifa.Na kuna kipindi shujaa wa afrika alitaka kufuta kiingereza ili kiswahili kitumike mpaka chuo kikuu.
Mimi nilipinga, sisi kama TANZANIA tunahitaji kujua lugha nyingi ila kuendana na uchumi wa dunia
Daaah 😂😂😂Document iliyosoma UN ingetumwa kwa Whatsapp,ili wajumbe waipata tunge save millions of money, na pesa hiyo ingeweza kusaidia kununua vitabu watoto wasome.
Tulia ChawaKuwa Mzalendo acha ujinga usome utoe kichwani sawa tu shida ipo wapi ndio ujinga mnafanya mnaleta madhara yasio na sababu... Mbona Netanyahu mwenye very high iq amesoma speech yake?
lugha ya malkia sio mchezoMukenya/Mkenya?🤷
😁😁😁majaaliwa ni mweupe kichwani kama bosi wake.
Taarabu za Kizimkazi.Plus watu walio nyuma yao pia, ni watupu sana. Wamezoea hotuba za vijembe, mihemko.
unadhani wenzenu wanajiita tu madokta kama dokta dokta saa mia ,kule ni vichwa sio uchawa wa mchezo mchezo wa yuuviisiisiiemu. nyambaf.Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.
Baadae nikaenda ya Ruto. Jamaa ile ku-adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
View attachment 3110275
View attachment 3110276
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79
Usinikasirikie Mimi sasa!!!!unadhani wenzenu wanajiita tu madokta kama dokta dokta saa mia ,kule ni vichwa sio uchawa wa mchezo mchezo wa yuuviisiisiiemu. nyambaf.
Kuna screen zenye maandishi pande mbili mbele yake, anachofanya ni kusoma, jitahidi usifatilie mambo ya PDiddy tuKabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.
Baadae nikaenda ya Ruto. Jamaa ile ku-adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
View attachment 3110275
View attachment 3110276
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79
Ishu sio lugha pekee, maudhui ya kinachozungumwa, na uwalishaje wake. Zipo nchi hazitumii kingereza wakiwa UNLugha, labda wangeruhusu kiswahili.
😂Wale wabibi weeeengii wanavaa vitambaa na magauni ya kijani
Hakuna kiongozi huwa anaandaa mwenyewe hotuba.hapa kuna kitu sijaelewa,inamaana hotuba anayosoma kiongozi hajaiandika mwenyewe???
Dunia ni kijiji sasa hivi kwa sababu ya utanndawazi.Ilikua ni sawa tu kiswahili kua lugha kuu ya kufundishia kwenye shule za upili mpaka chuo, ni faida kubwa sana kuliko kiingereza, ambacho sio lugha mama ya nchi, hata yale mataifa, yaliomepiga hatua kubwa sana, kwenye elimu, na teknolojia, yameanza na lugha mama kuu ya taifa.
SwadaktaHili ni neno.
Tunapata shida sana kuwasiliana tukienda nchi za wenzetu.
Kila Mtanzania azingatie kufahamu japo Kiingereza na Kifaransa.