UNGA: Speech ya Ruto dakika 29 yote katoa kichwani, Majaliwa dakika 16 tu kasoma makaratasi

UNGA: Speech ya Ruto dakika 29 yote katoa kichwani, Majaliwa dakika 16 tu kasoma makaratasi

Na kuna kipindi shujaa wa afrika alitaka kufuta kiingereza ili kiswahili kitumike mpaka chuo kikuu.
Mimi nilipinga, sisi kama TANZANIA tunahitaji kujua lugha nyingi ila kuendana na uchumi wa dunia
Ilikua ni sawa tu kiswahili kua lugha kuu ya kufundishia kwenye shule za upili mpaka chuo, ni faida kubwa sana kuliko kiingereza, ambacho sio lugha mama ya nchi, hata yale mataifa, yaliomepiga hatua kubwa sana, kwenye elimu, na teknolojia, yameanza na lugha mama kuu ya taifa.
 
Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.

Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.

Baadae nikaenda ya Ruto. Jamaa ile ku-adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.

#Goodmorning🇵🇹

View attachment 3110275
View attachment 3110276

- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79
unadhani wenzenu wanajiita tu madokta kama dokta dokta saa mia ,kule ni vichwa sio uchawa wa mchezo mchezo wa yuuviisiisiiemu. nyambaf.
 
Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.

Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.

Baadae nikaenda ya Ruto. Jamaa ile ku-adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.

#Goodmorning🇵🇹

View attachment 3110275
View attachment 3110276

- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79
Kuna screen zenye maandishi pande mbili mbele yake, anachofanya ni kusoma, jitahidi usifatilie mambo ya PDiddy tu
 
Ilikua ni sawa tu kiswahili kua lugha kuu ya kufundishia kwenye shule za upili mpaka chuo, ni faida kubwa sana kuliko kiingereza, ambacho sio lugha mama ya nchi, hata yale mataifa, yaliomepiga hatua kubwa sana, kwenye elimu, na teknolojia, yameanza na lugha mama kuu ya taifa.
Dunia ni kijiji sasa hivi kwa sababu ya utanndawazi.

Wewe endelea kung'ang'ania kiswahili ili uishie kufa njaa
 
Back
Top Bottom