Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas, Wabunge wa Israel walia

Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas, Wabunge wa Israel walia

Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas wabunge wa Israel walia

A picture[emoji1313][emoji1313] of the killed unit from 'Givati Brigades' who were blown up together in northern Gaza.

Hii ni unit nzima ya wanajeshi wa Israel waliouliwa wote na Kombora la Hamas hii imewafanya hadi wabunge Knesset ya Israel kulia kwa uchungu baada ya vijana wao kuangamizwa wote na wanamapambano wa Hamas

The Final Image of 10 Soldiers in the 84th “Givati” Brigade of the Israel Defense Force before they entered the Gaza Strip and were Killed last night by an Anti-Tank Guided Missile Attack on their “Namer” Heavy Armored Personnel Carrier

View attachment 2800481View attachment 2800482
Kambi ina wanajeshi 14? muislam akili hauna🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Basi tuseme Gaza atashinda vita hivi so tukae pembeni tuone mshindi et
[/QUOTE
Wewe kilaza ili kujua nani kashinfa vita inaangaliwa nini yalikuwa malengo ya vita, marengo ya Israel ni kuifuta Hamas, unafikiria hilo lengo litawezekana?
 
utani utani hii vita inaenda kula vichwa vya wanajeshi wa kutosha na inaweza badirisha historia ya nchi mojawapo
Wakat Nyatanyau anataka kuonyesha ushujaa kwa kuwadunda vilivyo wapalestina lkn anajikuta anatengeneza tatizo lingine kwa wanajesh wengi kuuawa jambo ambalo litamuweka ktk hali mbaya kisiasa
 
Ukiangalia IDF wanavyopigana na Hamas ni kama hawajajiandaa na urban war. Kuna Clip moja niliiona Twitter Wanajeshi wamejikusanya kama kumbikumbi wamevikimbia vifaru baada ya kuwa ambushed na Hamas.

Wachambuzi wanasema hamas wangekuwa na drone za fastarefaster kikosi chote kingegeuzwa mkaa maana wamepigwa picha kutokea juu.

Wanajeshi kama hawafuatilii SMO ya Russia na mabadiliko makubwa hasa ingizo la drone warfare watakuwa wanakufa kizembe.

Watashinda na kuiteka Gaza ila vita hivi vimeonyesha pia mapungufu yao mengi ambayo wasipoyafanyia kazi, hiyo nchi yenye maadui wengi kila gaidi atatamani kuitest.
Hao jamaa hawawezi kupigana na Hamas kwa ground war. Watashinda lkn hasara pia itakua kubwa, kwanza hawataki kufa unapigana na mtu ambae he has nothing to loose kama hao hamas ni hatali sana
 
Hii picha ni ya tarehe 07/10/2023 walipovamia wakati ule kwa kushitukiza. Si ya sasa hivi ndani ya Gaza.
Screenshot_20231101-220309.jpg

Hata hawa pia walikufa 7/10/2023 kwa kushtukiza
 
W

Wale mabikra walioko peponi ni dada zenu wa kiislamu au? Maake isije kuwa ni wakristo wenzenu mnawatolea macho. Naomba jibu kama vipi tumuombe Marekani akawakomboe dada zetu faster huko peponi
Ni dada zenu wakristo.
 
Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas wabunge wa Israel walia

A picture[emoji1313][emoji1313] of the killed unit from 'Givati Brigades' who were blown up together in northern Gaza.

Hii ni unit nzima ya wanajeshi wa Israel waliouliwa wote na Kombora la Hamas hii imewafanya hadi wabunge Knesset ya Israel kulia kwa uchungu baada ya vijana wao kuangamizwa wote na wanamapambano wa Hamas

The Final Image of 10 Soldiers in the 84th “Givati” Brigade of the Israel Defense Force before they entered the Gaza Strip and were Killed last night by an Anti-Tank Guided Missile Attack on their “Namer” Heavy Armored Personnel Carrier

View attachment 2800481View attachment 2800482
Vita visikie tu vikilipotiwa huko DW,BBC,ALJAZEERA E.t.c

Nasikia huko hamas wanatumia MAJINI kama ilivyokua IRAN
 
Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas wabunge wa Israel walia

A picture[emoji1313][emoji1313] of the killed unit from 'Givati Brigades' who were blown up together in northern Gaza.

Hii ni unit nzima ya wanajeshi wa Israel waliouliwa wote na Kombora la Hamas hii imewafanya hadi wabunge Knesset ya Israel kulia kwa uchungu baada ya vijana wao kuangamizwa wote na wanamapambano wa Hamas

The Final Image of 10 Soldiers in the 84th “Givati” Brigade of the Israel Defense Force before they entered the Gaza Strip and were Killed last night by an Anti-Tank Guided Missile Attack on their “Namer” Heavy Armored Personnel Carrier

View attachment 2800481View attachment 2800482
Kumbe mnajiweza kupigana hadi mnamaliza unit nzima sasa mnalia lia nini Palestine inaonewa? Mnatafuta huruma ya nini kutuwekea picha za watoto

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Netanyahu Hali tete Hamas wame release video kibao, Wanapigwa kiboya, mfano hicho kikosi kimepigwa na watu watatu tu wamechakaza kikosi kizima na mavifaru yao. Siku yoyote nahisi watampindua ama kumtoa madarakani.
Hao watatu walipigwa au walikimbia ?
 
Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas wabunge wa Israel walia

A picture[emoji1313][emoji1313] of the killed unit from 'Givati Brigades' who were blown up together in northern Gaza.

Hii ni unit nzima ya wanajeshi wa Israel waliouliwa wote na Kombora la Hamas hii imewafanya hadi wabunge Knesset ya Israel kulia kwa uchungu baada ya vijana wao kuangamizwa wote na wanamapambano wa Hamas

The Final Image of 10 Soldiers in the 84th “Givati” Brigade of the Israel Defense Force before they entered the Gaza Strip and were Killed last night by an Anti-Tank Guided Missile Attack on their “Namer” Heavy Armored Personnel Carrier

View attachment 2800481View attachment 2800482
Mkuu kwenye vita sio Disco utacheza mziki unaoupenda na usio upenda hautacheza, hapo vitani ni piga nikupige na kuwahiana kwa ufundi mbali mbali, kwahiyo vitani hasara mbali mbali zipo sio ajabu kabisa.
 
Kumbe mnajiweza kupigana hadi mnamaliza unit nzima sasa mnalia lia nini Palestine inaonewa? Mnatafuta huruma ya nini kutuwekea picha za watoto

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Hamna anaye taka kuonewa huruma hapa acha kujitoa akili, bali kinacho semwa ni kuheshimiwa kwa sheria za vita ambazo zipo kwa mujibu wa sheria za kimataifa ambapo Israel yenyewe ilisaini kuzifuata.

Israel kushambulia na kuua hovyo hovyo watoto na wanawake badala ya kupambana na hamas haikubaliki.
 
Wanao kufa ni wapalestina wakiwemo wakristo wenzio huyo unaye msimanga ni mmatumbi mwenzio. View attachment 2800505
Christians who live in Gaza are about 20% while the most of Palestinians are Muslims 60% and remaining 20% considers Paganism, Atheists, Rastafarians, Hinduism, Buddhism...so calculate and equalize it by using your common sense who are massively perished in this battle?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom