cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na UD kuna mapori haswaa, khaaaahKwa yale mapori ya UD pale na wanafunzi hupenda sana kujilaza kwenye vivuli vya miti mida ya mchana maana kuna hali ya hewa nzuri kuna siku atamwezwa mwanazuoni mmoja chatu anageuka lecturer wallah.