Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaHapana. Nyoka anawaogopa sana binadamu na mara nyingi hujitahidi kumkwepa binadamu ili wasikutane. Zingatia kwamba chatu ni mpole na hana sumu yoyote. Chatu hashambulii ila huwinda tu chakula chake. Sipati picha inakuwaje mwanachuo msomi licha ya tahadhari kutolewa bado yy anakuwa duwanzi kiasi hadi chatu amfikie karibu, kisa eti anapunga upepo.