Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

W
Wewe acha lawama za kipumbavu,,

UDSM kutoa tangazo huoni Kam inasaidia watu kufahamu kuwa maeneo tajwa ni hatar hivyo hakuna atakayesogea eneo Hilo.
jamaa anapoint tatizo ni chadema, udsm kutahadharisha ni sahihi, na tawa nao wanapaswa kuchukua hatua za haraka, hivi wangetonywa kuna mama anauza nyama ya swala siwangeshafika fasta,
 
W
Wewe acha lawama za kipumbavu,,

UDSM kutoa tangazo huoni Kam inasaidia watu kufahamu kuwa maeneo tajwa ni hatar hivyo hakuna atakayesogea eneo Hilo.
Ndo maana wanasiasa wanafanya wanavyotaka kwasababu ya watu wapumbavu kama wewe. Huoni kama UDSM na idara ya wanyamapori wangeweza kumaliza hilo tatizo kwa haraka bila kuleta taharuki? UDSM na Idara ya wanyamapori hawajatimiza wajibu wao.
 
Ndiyo, chatu akipata windo lolote lile anakula tu. Ila kwa hawa chatu wa Afrika, kumla mtu inabidi mtu huyo awe na mwili mdogo.

Hata wale reticulated pythons wa kule Indonesia ambao wamekuwa documented kumeza watu, ni wakubwa sana. Wanaanza futi 19 mpaka 23 hivi.

YouTube kuna video nyingi tu zinazoonyesha chatu [Burmese pythons] wakijaribu kumeza mawindo ambayo ni makubwa na mwisho wake wanaishia kuacha na kukimbia.

Ila chatu hata kama si mkubwa sana, bado anauwezo wa kukuua ukiingia kwenye 18 zake.

Akishajivingirisha kama huna wa kukusaidia, hapo ni kifo tu.
Mzee Nyani hata chatu wa Afrika wanameza watu ingawa hutokea mara chache.
 
Ndo maana wanasiasa wanafanya wanavyotaka kwasababu ya watu wapumbavu kama wewe. Huoni kama UDSM na idara ya wanyamapori wangeweza kumaliza hilo tatizo kwa haraka bila kuleta taharuki? UDSM na Idara ya wanyamapori hawajatimiza wajibu wao.
Hizi fikra gani?

Yaani UDSM wasubir TAWA washughulike bila umma kujua kwamba eneo Hilo ni hatar?

Je unajua eneo hilo hutumika na wanafunzi muda wote?
 
Sasa kwanini umuue, kwanza chatu ni too friendly kama hajawa confroted, ndo maana wasukuma wanawafuga
Kweli hakuna sababu ya msingi kumwua. Ila kama unavyojua waswahili tena; hawana dogo. Watazusha mtafaruku hapo na kila mmoja atajidai ni mjuzi wa mnyama huyo. Mm ningeshauri wahusika i.e. Maliasili -Wanyamapori wahusike kumhamishia mahali penye usalama kwake na kwa binadamu.i.e. wasilifumbie macho jambo hilo.
 
Kweli hakuna sababu ya msingi kumwua. Ila kama unavyojua waswahili tena; hawana dogo. Watazusha mtafaruku hapo na kila mmoja atajidai ni mjuzi wa mnyama huyo. Mm ningeshauri wahusika i.e. Maliasili -Wanyamapori wahusike kumhamishia mahali penye usalama kwake na kwa binadamu.i.e. wasilifumbie macho jambo hilo.
kabisa mie nashauri tawa na dar es salaam zoo washirikiane kumkamata na kumhamisha, pia kule bagamoyo kuna sehemu panaitwa snake park nao washirikishwe kumsaka, ila nawasiwasi usijekuta udam wamedahiri mtoto kutoka gamboshi au gambajiga hawa wanatabia ya kujigeuza chatu, hapa mshana jr atakuja atusaidie
 
Na zile ngedere zinazoiba hadi chapati COET wazitoe.
Hahahahaa wale ngedere kama watu, wanaingia hadi vyumbani kuchukua vyakula mkiacha madirisha wazi.
Kuna siku moja tunakunywa chai kwenye vimbweta mikoba tumeweka pembeni ndegere mmoja akachukua walet ya mwenzetu akaondoka nayo. Yule dada alilia huku anamuomba " naomba nirudishie walet chukua hata maandazi haya"
 
Nachukulia kama chatu anapatikana hapo mjini leo pengine miaka 17 iliyopita walikuwepo wengi zaidi manake hata hiyo Mlimani City ilikuwa pori tupu wakati nafanya jogging zangu usiku usiku.
OK. Lakini pia ukumbuke wanyama huweza kuhamia mahali au inawezekana katika harakati zake imetokea amefika hapo maeneo. Nyoka yeyote yule anajua sana kujificha. Nakumbuka iliwahi kutokea chatu kuonekana pale Chimala enzi hizo 1998 na watu wakaanzisha msako kutaka kumwua lakini cha kushangaza kazi ilianza asb hadi jioni na hakuonekana licha ya kutumia mbwa katika msako huo. Lakini tena baada ya siku 3 alionekana lakini hakuuawa (kwani hapakuwepo maandalizi) na hakuleta madhara yoyote na hatimaye alitoweka jumla.
 
Hizi fikra gani?

Yaani UDSM wasubir TAWA washughulike bila umma kujua kwamba eneo Hilo ni hatar?

Je unajua eneo hilo hutumika na wanafunzi muda wote?
Wewe mbona leo umekuwa mpumbavu sana? Una tatizo gani mkuu?
 
kabisa mie nashauri tawa na dar es salaam zoo washirikiane kumkamata na kumhamisha, pia kule bagamoyo kuna sehemu panaitwa snake park nao washirikishwe kumsaka, ila nawasiwasi usijekuta udam wamedahiri mtoto kutoka gamboshi au gambajiga hawa wanatabia ya kujigeuza chatu, hapa mshana jr atakuja atusaidie
Najaribu kupata picha ya Itakavyokuwa hao vijana wa W/Pori (Game officers) kizazi cha Dotcom watakavyojipanga kumsogelea huyo chatu ilhali wao wenyewe hata kumshika kinyonga ni mtihani- ni waoga mno kupita maelezo.
Ngoja nimwite Mtani wangu awasaidie ila wasisahau "kitu kidogo" kama shukrani.
 
Kwa yale mapori ya UD pale na wanafunzi hupenda sana kujilaza kwenye vivuli vya miti mida ya mchana maana kuna hali ya hewa nzuri kuna siku atamwezwa mwanazuoni mmoja chatu anageuka lecturer wallah.
😃😃
 
Hapana. Nyoka anawaogopa sana binadamu na mara nyingi hujitahidi kumkwepa binadamu ili wasikutane. Zingatia kwamba chatu ni mpole na hana sumu yoyote. Chatu hashambulii ila huwinda tu chakula chake. Sipati picha inakuwaje mwanachuo msomi licha ya tahadhari kutolewa bado yy anakuwa duwanzi kiasi hadi chatu amfikie karibu, kisa eti anapunga upepo.
 
Back
Top Bottom