Na UD kuna mapori haswaa, khaaaahKwa yale mapori ya UD pale na wanafunzi hupenda sana kujilaza kwenye vivuli vya miti mida ya mchana maana kuna hali ya hewa nzuri kuna siku atamwezwa mwanazuoni mmoja chatu anageuka lecturer wallah.
Tena wazifurushee kabisaaa,Na zile ngedere zinazoiba hadi chapati COET wazitoe.
Umesoma UDSM?Tena wazifurushee kabisaaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaa wale ngedere kama watu, wanaingia hadi vyumbani kuchukua vyakula mkiacha madirisha wazi.
Kuna siku moja tunakunywa chai kwenye vimbweta mikoba tumeweka pembeni ndegere mmoja akachukua walet ya mwenzetu akaondoka nayo. Yule dada alilia huku anamuomba " naomba nirudishie walet chukua hata maandazi haya"
YessUmesoma UDSM?
Hongera sana. Mimi nilisoma chuo cha nyuki Tabora.Yess
Kwanza kwann ule msitu usiondolewe? Chuo kikubwa kuzungukwa na Wanyama wa Porini, Si upumbavu huu.Hakurudisha alienda nayo mitini bahati nzuri akaiangusha anavyoruka. Ngedere wa UDSM wakorofi na wachokozi mno hawaoni shida kuja kuchukua chakula mezani unapokula.
Wee muongo, AaahHongera sana. Mimi nilisoma chuo cha nyuki Tabora.
Nilihisi umesoma UD baada ya kusoma comments zako nyingi.Wee muongo, Aaah
Kweli tumekua mayai sana
Yess nimepita palee.Nilihisi umesoma UD baada ya kusoma comments zako nyingi.
Ujaribu kusogea tuone kama hatakumezaKwa kawaida ni nadra sana Afrika chatu kumeza mtu, kwa sababu binadamu hayupo kwenye menu yake, ila ukijichanganya utamezwa tu...
Uliona wapi chatu kameza binadamu?Kwa yale mapori ya UD pale na wanafunzi hupenda sana kujilaza kwenye vivuli vya miti mida ya mchana maana kuna hali ya hewa nzuri kuna siku atamwezwa mwanazuoni mmoja chatu anageuka lecturer wallah.
Huyo chatu alikuwa hajazaliwa.Mimi nilikuwa narandaranda maeneo hayo wakati huo hadi giza linaingia zaidi ya miaka 17 iliyopita kumbe ningeweza kumezwa na chatu, aiseeee!
Waliomzaa si walikuwepo?Huyo chatu alikuwa hajazaliwa.