Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

Kwa yale mapori ya UD pale na wanafunzi hupenda sana kujilaza kwenye vivuli vya miti mida ya mchana maana kuna hali ya hewa nzuri kuna siku atamwezwa mwanazuoni mmoja chatu anageuka lecturer wallah.
Na UD kuna mapori haswaa, khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakurudisha alienda nayo mitini bahati nzuri akaiangusha anavyoruka. Ngedere wa UDSM wakorofi na wachokozi mno hawaoni shida kuja kuchukua chakula mezani unapokula.
Kwanza kwann ule msitu usiondolewe? Chuo kikubwa kuzungukwa na Wanyama wa Porini, Si upumbavu huu.

Miaka yote niliyokaa pale Main campus nilikua nashangaa sana
 
Wametoa tahadhari lakini hawajasema nini kimefanyika au kinakusudia kufanyika.. Nilitegemea Jeshi Usu la TAWA 'limejaa' UDSM kwa sasa kumtafuta mpaka apatikane pamoja na makazi yake na uzao wake na ahamishiwe sehemu nyingine.. kama waliweza kuondoa nyoka wote Chamwino, sidhani kama hili litawashinda..
 
Hao wachina waliojaa hapo udsm si ndio msosi wao huo wautafute.
 
Kwa kawaida ni nadra sana Afrika chatu kumeza mtu, kwa sababu binadamu hayupo kwenye menu yake, ila ukijichanganya utamezwa tu...
Ujaribu kusogea tuone kama hatakumeza
 
Kwa yale mapori ya UD pale na wanafunzi hupenda sana kujilaza kwenye vivuli vya miti mida ya mchana maana kuna hali ya hewa nzuri kuna siku atamwezwa mwanazuoni mmoja chatu anageuka lecturer wallah.
Uliona wapi chatu kameza binadamu?
 
Mimi nilikuwa narandaranda maeneo hayo wakati huo hadi giza linaingia zaidi ya miaka 17 iliyopita kumbe ningeweza kumezwa na chatu, aiseeee!
Huyo chatu alikuwa hajazaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…