Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Chikola awe mgeni rasmi kwenye ghafla zote za taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ya uchovu mnaikuza sana, ligi yetu hazifiki timu ishirini na tupo round ya 1 ya msimu sasa kinachowachosha hawa wachezaji wetu ni nini?Gamondi ni kocha bora ametupa furaha miaka mitatu, kufungwa kupo japo haipendezi kufungwa mfululizo.
Uongozi uongee nae kwa staha. Tatizo lake kubwa ni kuweka benchi sana baadhi ya wachezaji na kuwatumia kupita kiasi wengine nao huchoka sana na kuboronga.
Hamisa Mobeto...wanataka wapewe holiday mpk kwenye usinziHoja ya uchovu mnaikuza sana, ligi yetu hazifiki timu ishirini na tupo round ya 1 ya msimu sasa kinachowachosha hawa wachezaji wetu ni nini?
Hii ni uthibitisho tosha kwamba ushindi waYanga hauna mchango wa Kocha.Hii ni baada ya kuitwa kwenye kikao na Master Gamondi kugoma kutokea.
Uongozi umechoshwa na jeuri ya kocha huyo na sasa muda wowote ndani ya masaa 24 yajayo Gamondi atafutwa kazi
Hiyo hoja yao mimi naweza kukubaliana nayo . Unamsajili Chama miaka 35 ili uikomowe Simba . 80% ya wachezaji ni miaka 32+ , walioko uwanjani wanacheza huku wanasinzia sababu ya uzee. Waliopo benchi wanasinzia hovyo hadi wanaota ndoto nyevu . Unategemea hiyo timu ifanye maajabu?Hoja ya uchovu mnaikuza sana, ligi yetu hazifiki timu ishirini na tupo round ya 1 ya msimu sasa kinachowachosha hawa wachezaji wetu ni nini?
Da hichi kizungu cha kumaĺizia kimenifurahìßĥAcha unafiki sisi hatufukuzi kocha kijingajinga Simba mnasifa sifa sana mnapooza machungu believe young African can be back like you will never see before and mark my worfs
Nyuki hakumbatiwiBee keepers 😂😂😂
Aah wapi mkikaa kimya na kujipanga mpya mnaweza kutoboa japo sio kivile tena! Mkimtimua mmekwishaAcha unafiki sisi hatufukuzi kocha kijingajinga Simba mnasifa sifa sana mnapooza machungu believe young African can be back like you will never see before and mark my worfs
Lakini ni heri wamuache amalizie msimu wake.. Wasiguse vilivyolalaHii ni uthibitisho tosha kwamba ushindi waYanga hauna mchango wa Kocha.
Fungueni code
Delilah😀Hamisa Mobeto...wanataka wapewe holiday mpk kwenye usinzi
Mechi na Tabora kalichangamka kweli baada ya kuogopa kuwadunga. Watamuua mstaafu.😂😂😂Watakuja waue hao we kizee kikongwe kama chama nacho wanakidunga masindano kichangamke si laana hiyo, mzee Chama wangekua wanampatia tu chakula laini laini cha wazee wao misindano tu
Huyu Simba tumchukue dirisha Dogo hata asipocheza awe Tu ''Nyara' ya Simba. Kama alivyo ndege Tausi Kwa Taifa🤣🤣🤣Chikola awe mgeni rasmi kwenye ghafla zote za taifa.
Ni kweli mkuu.Sasa hata kama ndio wewe unaitwa usiku wa manane wao wako mia afu wote wana hasira we uko peke yako ungeenda?
Kwanini wasisubirie kukuche kwanza?
Naskia pia Gamondi alisema kuitikia wito huo ni mpaka aambatane na mwanasheria wake. Kwasababu alijua mada iliyokuwa inaenda kujadiliwa.
Sasa kwa majira yale haikuwa ni rafiki kumtafuta mwanasheria mpaka aweze kufika kikaoni, labda kama wangemuandaa mapema kabla ya game kuwa matokeo yakija tumefungwa uwe na mwanasheria karibu.
Hatar sanaa...kamaliza uroto wa kijana...anazurura tu uwanjaniDelilah😀