Tetesi: Uongozi wa Yanga kumfuta kazi Kocha Gamondi muda wowote kuanzia sasa

Tetesi: Uongozi wa Yanga kumfuta kazi Kocha Gamondi muda wowote kuanzia sasa

Watakuja waue hao we kizee kikongwe kama chama nacho wanakidunga masindano kichangamke si laana hiyo, mzee Chama wangekua wanampatia tu chakula laini laini cha wazee wao misindano tu
Hivi kule Simba ukiacha Rage nani mwingine mwenye akili? Hapa naona wazi umbumbumbu!!

Hii hoja dhaifu sana, yaani mchezaji gani ataua career yake kwa kukubali kuchomwa sindano? Yani Pacome unamchomaje sindano? Dube unamchomaje? Kweli nimeona ukiwa shabiki wa simba akili zinahama!!

Yanga ni timu kali na imeshinda kihalali naona makolo kimoko kimewauma sana kila siku ni kuzusha tu Yanga inabebwa, mara sindano nk. Ile Yanga inacheza ni staili ya mpira tu kama total football inayohitaji mazoezi ya pumzi , taarabu za wanathimba hazitaisha iwapo Yanga itaendelea kubeba makombe.

Gamondi yupo sana Yanga bado hana mbadala. Gamondi ndo mwiba pekee wa simba hata tufungwe mechi kumi za ligi kocha wetu hatumuachi bali tutamwambia tu kocha unazingua panga upya mafaili, mfano huwezi kumchezesha Nkane namba mbili badala ya Kibwana, that was a clear flaw

Yanga imefungwa magoli manne hadi sasa na yote yametokea katikati juu kidogo ya box pale wanapocheza Job na Baka, hivyo Gamondi hana kazi kubwa ni kuziba tu hiyo sehemu ndogo inayovuja hasa wanapokosekana Baka na Job. Yanga bado imara sehemu zingine.
 
Viongozi wa Yanga watakuwa wajinga sana, kufungwa gemu 2 tu mnataka kufukuza mtu.

Wqkati team Kubwa kama Man city kqpoteza gemu 3 mfululizo na husikii huu upuuzi
 
Sasa akahojiwe na akina manyara na komwe?
Timu imejaa machawa kibao wanalipwa mishahara lakini hata Dana Dana hawajui kupiga. Ni maneno tuu
Ni muda sahihi kwa mzee Magoma kukabidhiwa timu yake aliyeiokotea mahakamani
 
Hii ni baada ya kuitwa kwenye kikao na Master Gamondi kugoma kutokea.

Uongozi umechoshwa na jeuri ya kocha huyo na sasa muda wowote ndani ya masaa 24 yajayo Gamondi atafutwa kazi
Yanga watapata tabu sana,wamfute kazi injinia pia kwa kwa kumletea mobbeto aziza K na kupelekea kushuka kiwango
 
Hii ni baada ya kuitwa kwenye kikao na Master Gamondi kugoma kutokea.

Uongozi umechoshwa na jeuri ya kocha huyo na sasa muda wowote ndani ya masaa 24 yajayo Gamondi atafutwa kazi
Naunga mkono, timu ina viongozi smart, huenda kuna madhaifu makubwa ya kocha na benchi lake viongizi wanayajua!
 
Hivi kule Simba ukiacha Rage nani mwingine mwenye akili? Hapa naona wazi umbumbumbu!!

Hii hoja dhaifu sana, yaani mchezaji gani ataua career yake kwa kukubali kuchomwa sindano? Yani Pacome unamchomaje sindano? Dube unamchomaje? Kweli nimeona ukiwa shabiki wa simba akili zinahama!!

Yanga ni timu kali na imeshinda kihalali naona makolo kimoko kimewauma sana kila siku ni kuzusha tu Yanga inabebwa, mara sindano nk. Ile Yanga inacheza ni staili ya mpira tu kama total football inayohitaji mazoezi ya pumzi , taarabu za wanathimba hazitaisha iwapo Yanga itaendelea kubeba makombe.

Gamondi yupo sana Yanga bado hana mbadala. Gamondi ndo mwiba pekee wa simba hata tufungwe mechi kumi za ligi kocha wetu hatumuachi bali tutamwambia tu kocha unazingua panga upya mafaili, mfano huwezi kumchezesha Nkane namba mbili badala ya Kibwana, that was a clear flaw

Yanga imefungwa magoli manne hadi sasa na yote yametokea katikati juu kidogo ya box pale wanapocheza Job na Baka, hivyo Gamondi hana kazi kubwa ni kuziba tu hiyo sehemu ndogo inayovuja hasa wanapokosekana Baka na Job. Yanga bado imara sehemu zingine.
Weeee bwabwajaa weee ila ukweli wote upo karibu kutoka na hivyo njaa kali manara domo domo mwenzenu kasema atasema kila kitu tumekaa palee tunakula asali ndo utajua hujui topolokwinyo
1000264582.jpg
 
Hivi kule Simba ukiacha Rage nani mwingine mwenye akili? Hapa naona wazi umbumbumbu!!

Hii hoja dhaifu sana, yaani mchezaji gani ataua career yake kwa kukubali kuchomwa sindano? Yani Pacome unamchomaje sindano? Dube unamchomaje? Kweli nimeona ukiwa shabiki wa simba akili zinahama!!

Yanga ni timu kali na imeshinda kihalali naona makolo kimoko kimewauma sana kila siku ni kuzusha tu Yanga inabebwa, mara sindano nk. Ile Yanga inacheza ni staili ya mpira tu kama total football inayohitaji mazoezi ya pumzi , taarabu za wanathimba hazitaisha iwapo Yanga itaendelea kubeba makombe.

Gamondi yupo sana Yanga bado hana mbadala. Gamondi ndo mwiba pekee wa simba hata tufungwe mechi kumi za ligi kocha wetu hatumuachi bali tutamwambia tu kocha unazingua panga upya mafaili, mfano huwezi kumchezesha Nkane namba mbili badala ya Kibwana, that was a clear flaw

Yanga imefungwa magoli manne hadi sasa na yote yametokea katikati juu kidogo ya box pale wanapocheza Job na Baka, hivyo Gamondi hana kazi kubwa ni kuziba tu hiyo sehemu ndogo inayovuja hasa wanapokosekana Baka na Job. Yanga bado imara sehemu zingine.
Yeah....
 
Hii ni baada ya kuitwa kwenye kikao na Master Gamondi kugoma kutokea.

Uongozi umechoshwa na jeuri ya kocha huyo na sasa muda wowote ndani ya masaa 24 yajayo Gamondi atafutwa kazi
Siku 7 baadae inatimia
 
Hivi kule Simba ukiacha Rage nani mwingine mwenye akili? Hapa naona wazi umbumbumbu!!

Hii hoja dhaifu sana, yaani mchezaji gani ataua career yake kwa kukubali kuchomwa sindano? Yani Pacome unamchomaje sindano? Dube unamchomaje? Kweli nimeona ukiwa shabiki wa simba akili zinahama!!

Yanga ni timu kali na imeshinda kihalali naona makolo kimoko kimewauma sana kila siku ni kuzusha tu Yanga inabebwa, mara sindano nk. Ile Yanga inacheza ni staili ya mpira tu kama total football inayohitaji mazoezi ya pumzi , taarabu za wanathimba hazitaisha iwapo Yanga itaendelea kubeba makombe.

Gamondi yupo sana Yanga bado hana mbadala. Gamondi ndo mwiba pekee wa simba hata tufungwe mechi kumi za ligi kocha wetu hatumuachi bali tutamwambia tu kocha unazingua panga upya mafaili, mfano huwezi kumchezesha Nkane namba mbili badala ya Kibwana, that was a clear flaw

Yanga imefungwa magoli manne hadi sasa na yote yametokea katikati juu kidogo ya box pale wanapocheza Job na Baka, hivyo Gamondi hana kazi kubwa ni kuziba tu hiyo sehemu ndogo inayovuja hasa wanapokosekana Baka na Job. Yanga bado imara sehemu zingine.
Vipi huko
 
Back
Top Bottom