gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Gamindi bado yupo sana na inasemekana kaongezewa mkataba wa miaka 2.Ndivyo kolo mnavyotamani
I. Gamindi bado yupo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gamindi bado yupo sana na inasemekana kaongezewa mkataba wa miaka 2.Ndivyo kolo mnavyotamani
I. Gamindi bado yupo sana.
Kivipi nyie....?Laana ya kupora na kuidhulumu Simba ushindi tar.19.10.2024 kwa kumtumia kayoko imeanza kuwatafuna
Hakuna kikao chochote hao makolokwinyo ndio wanazusha kwa vile wanamuogopa gamond saana
Samalekoooooo alafu nakwambia ndugu hizi simba na yanga ukizishabikia sana unakua zuzu flani hiviAcha unafiki sisi hatufukuzi kocha kijingajinga Simba mnasifa sifa sana mnapooza machungu believe young African can be back like you will never see before and mark my worfs
HabariiiiiiiiiiGamondi yupo sana Yanga bado hana
Sio kirahisi hivo 😂
Gamond kafukuzwa ila huyo Gamindi wako atakua yupo bado, kingine hizi Simba na Yanga usiziwekee muamana sanaaa zina ujinga ujinga siku ingine tunza utu wakoNdivyo kolo mnavyotamani
I. Gamindi bado yupo sana.
Nenda kadai Ada yako ya shule!Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
Nini wewewAcha uongo