Upangaji wa Makao Makuu Dodoma. Nani aliamuru Ikulu izungukwe na Makazi ya Watu?

Kuwa Rais sio kuvuka hadhi ya ubinadamu.

Yule ni mtu kama wewe tu.

Hivyo kukaa na watu kama yeye sio makosa.

Acha kutukuza watu.

Mpe utukufu Mungu tu.
Siku hizi una akili sana wewe 😁😁😁
Ila enzi za mzilankende anazunguka na wanajeshi na silaha zabkivita ardhini na angani ulikuwa ume mute tu
 
Sisi Waafrika vitu kama ikulu huwa tunamsikiliza sana mganga (sio daktari) wa taifa aseme ijengwe wapi...
 
Ili likitokea la lutokea unatoroka kujichanganya na wananchii🀣🀣
 
Mfn Nchi gani?

Hapo ni swala muda, kwanza kbs majengo na baadhi ya shughuli hazitafanyika maeneo hayo ikumbukwe kuwa IKULU yenyewe haijakamilika 100% ktk swala la ujenzi
Hiyo Ikulu ni kwamba haikamiliki au haikamilishwi? Inajengwa kwa muda gani?!
 
Huyu mleta Uzi haijui vizuri Ikulu ya Chamwino, yeye kaona ukuta ulizonguka Ikulu upo karibu na Makazi ya Watu ndiyo anasema Ikulu.
Hiyo siyo hoja yangu. Hata ikulu ya DRC ipo hivyo ila haijazungukwa na makazi ya wananchi. Likitokea siku utakuja kuelewa hoja yangu
 
Usanifu nao ni hoja, si sawa kujenga ofisi kuu ya Serikali katika karne hii kwa sanifu ya Seraseni ya mwaka 1922. Tunashauriwa kutunza majengo ya zamani, lakini katika ujenzi mpya ni vema kuangalia wakati wa Sasa na ujao
Zamani mtu alikuwa akivaa suruali iliyochanika aliitwa Masikini...leo hii suruali zilizochanwa chanwa ndiyo fashion halisi.
Kujengwa fashion ya zamani siyo hoja, hoja ni kuwa inakidhi mahitaji ya sasa?
 
Bora mkuu kwa kumjibu, maana amefoka sana, alafu uyu mtoa mada yawezekana alikua nje miaka mingi, maana ni juzi ametembelea Dodoma mpaka anazungumzia ukumbi wa bunge na mazingira yake ambayo yapo vile na ukumbi haujajengwa leo wala sikuwahi sikia wabunge lalamika wanakosa parking
 
Akili yako ya kindezi huwezi elewa.
Kakwambia ukweli.Watu wakiamua kumfanyia umafia rais wa nchi yoyote watamfanyia tu haijalishi ikulu itakua imejengwa wapi.Na mara nyingi matatizo ya ikulu yanaanza na waliopo ndani ya ikulu.Wa nje wanakuja kwa maelekezo ya wa ndani.Kwahiyo eneo ilipo ikulu wala haina maana.
 
Klemrin tu ambako pana ulinzi putin kakoswa koswa. Pata picha ikulu ya Urusi ingekuwa karibu na makazi ya wananchi leo hii ingekuwaje?
Kakoswa koswa na wahuni tu ambao hawakujipanga sawasawa.binadamu akijipanga vizuri kukuangamiza labda ukaishi kwenye jua,ila kwenye hii dunia huna ambako hawawezi kukufikia.
 

Kwani si wanapakigi kwenye temesa yao ile pale upande wa pili wanapojazia mafuta mule hao wanaopaki wabunge wanaopaki njee wahuni tu kuvizia vitoto vya CBE hapo
 
ikulu ya USA white house kwanzia saa 2 asubuhi hadi saa 6 na nusu mchana unaruhusiwa kwenda kutalii muda mrefu raia wamejaa ikulu kama kukaa mbali na watu ndo ulinzi wangeanza jamaa wa Washington kuzuia raia wasisogee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…