and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Katekista Taja kifungu cha SheriaKwani zile kesi za kule kwenu Zanzibar, za Maustaadh kuwalawiti watoto wa madrasa nazo huwa zinaishia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katekista Taja kifungu cha SheriaKwani zile kesi za kule kwenu Zanzibar, za Maustaadh kuwalawiti watoto wa madrasa nazo huwa zinaishia wapi?
Dhambi haifutwi na dhambi.Kwani zile kesi za kule kwenu Zanzibar, za Maustaadh kuwalawiti watoto wa madrasa nazo huwa zinaishia wapi?
Katekista Taja kifungu cha Sheria
Mna nongwa sana nyinyi watu. Padre hana tofauti na Ustaadh, au binadamu yeyote yule!Dhambi haifutwi na dhambi.
Weka ushahidi wa hao Chadema kutetea huo ushoga, badala ya kuleta porojo!Ukiona mtu anatetea ushoga elewa kuwa huyo ni walewale.
Chadema wanatetea na kuhamasisha ushoga.
Mbona unataka mtumishi wa Yesu ahujumiwe. Huijui kuwa anaongozwa na Roho Mtakatifu wake?Wangemvizia huyo Padre,wamalizane naye kimjinimjini.
Tofauti ipo , Padri huwa anaongozwa na Roho MtakatifuMna nongwa sana nyinyi watu. Padre hana tofauti na Ustaadh, au binadamu yeyote yule!
Iachieni mahakama itende haki.
Stick kwenye mada iliyopo. Chadema inakuwasha sana bibi wewe?Ukiona mtu anatetea ushoga elewa kuwa huyo ni walewale.
Chadema wanatetea na kuhamasisha ushoga.
Na ustadh anaongozwa na nini?Tofauti ipo , Padri huwa anaongozwa na Roho Mtakatifu
Matamanio yakeNa ustadh anaongozwa na nini?
Yaani roho mtakatifu ndio anamuongoza alawiti watoto?Mbona unataka mtumishi wa Yesu ahujumiwe. Huijui kuwa anaongozwa na Roho Mtakatifu wake?
Okay, kiujumla mimi sifungamani na upande wowote. Isipokuwa matendo maovu ya padre/ustadh yasiwape watu uhalali wa kukashfu dini/imani ya wenzao.Matamanio yake
Tunavyoambiwa Roho Mtakatifu ndiye anayewaongoza wakristo ,hapa ndio linakuja hilo swali ,jee mpaka kulawiti ?Yaani roho mtakatifu ndio anamuongoza alawiti watoto?
Mimi sijakashifu mtu , ila tunavyoambiwa wakristo huongozwa na Roho Mtakatifu.Sijui Kama mpaka Kwenye hii biashara huwaongoza?Okay, kiujumla mimi sifungamani na upande wowote. Isipokuwa matendo maovu ya padre/ustadh yasiwape watu uhalali wa kukashfu dini/imani ya wenzao.
Kila binadamu ana utashi/ukichaa wake na jambo lolote atakalofanya kwa ubaya haliwakilishi taasisi anayoitumikia.
Dhambi hiyo ataibeba mwenyewe kwakuwa hakutumwa na taasisi yake kufanya hivyo.
Hata walio Kwenye ndoa wana hayohayoDuuh hatari Sana, waruhusiwe kuoa/ kuolewa kwa upande wa ma sister
Okay, kiujumla mimi sifungamani na upande wowote. Isipokuwa matendo maovu ya padre/ustadh yasiwape watu uhalali wa kukashfu dini/imani ya wenzao.
Kila binadamu ana utashi/ukichaa wake na jambo lolote atakalofanya kwa ubaya haliwakilishi taasisi anayoitumikia.
Dhambi hiyo ataibeba mwenyewe kwakuwa hakutumwa na taasisi yake kufanya hivyo.
Wengine hawaOkay, kiujumla mimi sifungamani na upande wowote. Isipokuwa matendo maovu ya padre/ustadh yasiwape watu uhalali wa kukashfu dini/imani ya wenzao.
Kila binadamu ana utashi/ukichaa wake na jambo lolote atakalofanya kwa ubaya haliwakilishi taasisi anayoitumikia.
Dhambi hiyo ataibeba mwenyewe kwakuwa hakutumwa na taasisi yake kufanya hivyo.
Sana tena, kila anaeutangaza na kuusherehekea ushoga ananiwasha sana.Stick kwenye mada iliyopo. Chadema inakuwasha sana bibi wewe?