UPDATE: Padri afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kulawiti watoto 10 Moshi

UPDATE: Padri afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kulawiti watoto 10 Moshi

Sana tena, kila anaeutangaza na kuusherehekea ushoga ananiwasha sana.

Nakuuliza, chadema hatangazi waziwazi kuutetea na kuusambaza ushoga Tanzania?

Sona kichwa cha mada, rudia kukiandika hapa halafu uone nipo au sipo kwenye mada. Au wewe ni chadema?
Weka ushahidi! Acha maneno mengi.
 
Ushahidi kuhusu Chadema kuunga mkono ushoga.
Screenshot_20230216_102101_Facebook.jpg
 
Mtoto akiwa tumboni ndipo unaweza kumlinda, dunia ni mbaya, wapo watu wabaya
 
Sana tena, kila anaeutangaza na kuusherehekea ushoga ananiwasha sana.

Nakuuliza, chadema hatangazi waziwazi kuutetea na kuusambaza ushoga Tanzania?

Sona kichwa cha mada, rudia kukiandika hapa halafu uone nipo au sipo kwenye mada. Au wewe ni chadema?
Muheshimiwa mi nimefurahi ule uamuzi wako wa kununua kila goli litakalofungwa na simba na Yanga kule caf


Hakika unawapa motisha vijana wetu
 
Maelezo yote haya hata kama yangekuwa ni ya kweli, bado yanamhusu Tundu Lissu! Na ni siyo Chadema kama chama!

Au unataka kuniambia hata yule Mwenyekiti wenu wa Halmshauri kule Moshi aliyevuliwa wadhifa wake kipindi kile, baada ya kuhudhuria kongamano la mashoga, alikuwa anakiwakilisha chama chenu cha ccm?
 
Hata Karume akiitwa Sheikh

Huyo haongozwi na Roho Mtakatifu
Elimu ya Roho huna dogo!
[emoji116][emoji116]

وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الرُّوحِ ۖ قُلِ الرُّوحُ مِنْ أَمْرِ رَبِّي وَمَا أُوتِيتُم مِّنَ الْعِلْمِ إِلَّا قَلِيلًا

[ AN NAH'L - 85 ]
Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.

Ilimu umliyopewa ni ya kata.3 kama umeingiliwa/imeingilia vutu ya maiti, mnyama kama punda, nyau, nguruwe..., mmepumuliana, kuntha, mtoto
IMG_20230210_143750.jpg


Dhahir eeh?!
 
Back
Top Bottom