UPDATE: Padri afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kulawiti watoto 10 Moshi

Ki ukweli ni jambo la kusikitisha sana hasa kwa familia ambazo watoto wao wamekutwa na madhila hayo, inaumiza kama mzazi ni maumivu yasiyoelezeka. Huyo padri afungwe miaka yake anayostahili. Ameiaibisha jamii ameliaibisha kanisa.

Binafsi naona hata wakiruhusiwa kuoa bado kama mtu ni fuska ataendelea tu. Wanaume wangapi wana wake zao bado wanachepuka? Bado wanatamani wake za watu na pia kubaka. Tuzidi kumuomba Mungu kila mmoja aishi maagano aliyoapa kwa Mungu. Kama ni mwanandoa kua mwaminifu na kama ni mapadri wawe pia waaminifu kwani waliapa kumtumikia Mungu wakiwa hivo. Pole kwa familia zote zilizokumbwa na madhila hayo.
 
Roman katoriki nao wamepitwa na wakati.
Mwanamme rijali kumlazimisha asioe ni jambo lilipitwa na wakati.
 
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA.HAFAI KUWA PADRE HUYO NA HERI AJIHUDURU AKADAKE NANGA HUKO MTAANI KAMA AMESHINDWA KUISHI USEJA.
 
Huyu Padri ilitakiwa asifikishwe mahakamani kwanza bali wazazi wa watoto waliofanyiwa unyama watafute mabandidu wa kitaa kimya kimya wamle kiboga huyu padri

Dawa ya mshenzi ni kumfanyia ushenzi tu,, bladfaken
 
Hao watoto waliofanyiwa hivyo ninwa kiume au wa kike? Inasikitisha sana, Mungu atusaidie.
 
Mkuu em tafuta glass ya maji kwanza!
 
Manawalewa hao mashetani
Check majibu ya RPC na askofu
Kwani ni huyo tu? Makasisi na mapadri wa Kanisa katoliki wanayafanya hayo dunia nzima, tena hawakuanza leo wala jana, ni uozo wa miaka na miaka, Mpaka Umoja wa Mataifa umepiga kelele.
 
Kwani ni huyo tu? Makasisi na mapqdri wa Kanisa katoliki wanayafanya hayo dunia nzima, tena hawakuanza leo wala jana, ni uozo wa miaka na miaka, Mpaka Umoja wa Mataifa umepiga kelele.
Haya mambo yasipochukuliwa hatua kali yatakuja kuwa very dangerous maana nahisi shetani yupo kazini sasa
 
Dunia ya sasa sijui huko madrasa na makanisani hakuna usalama kwa watoto....
Mzazi unamuacha mtoto huko masaaa kadhaaa,mzazi ukiamini
Mtoto yuko sehemu salama
Kumbe mtoto huko wakati wowote
Anaweza zibuliwa mtaro

Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani si tulikubaliana huyu padre auwawe au??
 
Askofu akapokea simu halafu anakwepa kujibu swali eti wanafanya sala. Sasa alipokeaje simu kama wanafanya sala? Uongo mtupu.
Hili ni kosa la jinai. Liko nje ya nguvu za Askofu. Siku hizi padri au Askofu aakifanya kosa kama hili, hata kama yuko Vatican kwenye immunity, ruksa kukamatwa.
Ni moja ya dhambi inayokwaza vijana wengi kuwa waumini wazuri kanisani. Kanisa lazima libadilike. Mapadri wake wengi ni wahalibifu mno. Na wanalindana. Wale wanaosema ukweli wanatengwa na kunyanyaswa.
Ila kama waswahili wasemavyo, mficha maradhi, kifo kitamuumbua. Mapadre na Maaskofu, mbadilike. Rudini kwenye mstari. Tumechoka kugombania mademu bar. Na hili la watoto wadogo ni laana kabisa
 
Kwani ni huyo tu? Makasisi na mapqdri wa Kanisa katoliki wanayafanya hayo dunia nzima, tena hawakuanza leo wala jana, ni uozo wa miaka na miaka, Mpaka Umoja wa Mataifa umepiga kelele.
Ningeshangaa usiwepo kwenye huu uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…