Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema kuhusu pesa walizokuwa wanachangishwa wao kama wabunge, hawafahamu zimetumika kufanya Nini. Na ni kweli hizi pesa zimekuwa zikitolewa porojo. Huyu Upendo kwakuwa ana hasira ataongea mengi ya hasira, lakini humo ndani tutapata ukweli.Mbowe ni kiongozi mkuu wa chama hivyo hawezi kuepuka kusemwa kwa mambo ya kweli ama ya uongo. Kuna siku ukweli utajitenga na uongo
Hili shtaka mbona Mwikabe Waitara aliliibua akiwa TAMISEMI nakumbuka TAKUKURU walichunguza ila wakaona hakuna ufujaji wa pesa. Same to CAG alifanya forensic audit kwa CHADEMA hiyo 2020 mbona hakupata ushahidi? Hivi JPM alivyochukia upinzani angegundua ufisadi si angekifuta chama kabisa!!Amesema kuhusu pesa walizokuwa wanachangishwa wao kama wabunge, hawafahamu zimetumika kufanya Nini. Na ni kweli hizi pesa zimekuwa zikitolewa porojo. Huyu Upendo kwakuwa ana hasira ataongea mengi ya hasira, lakini humo ndani tutapata ukweli.
for sure,Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.

Ana hasira za nini sasa? 🐼Amesema kuhusu pesa walizokuwa wanachangishwa wao kama wabunge, hawafahamu zimetumika kufanya Nini. Na ni kweli hizi pesa zimekuwa zikitolewa porojo. Huyu Upendo kwakuwa ana hasira ataongea mengi ya hasira, lakini humo ndani tutapata ukweli.
Aweke akiba yw maneno! Waliondoka miamba kina Zito, Kafurila, Halima nk, hakuna cha upekee anachofanya, ni njaa tu!Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Tofautisha kati jf na kusikiliza redio au kutazama tvNimesema hili jambo ni mubashara. Mwenye nafasi anaweza kusikiliza, asiye na nafasi halazimishwi. Sio jambo la Siri utake nikuletee kinachojadiliwa huko ndani. Acha kupanick, unasema huna nafasi ya kusikiliza ila uko jf unajadili!
Ni kweli, ila kwakuwa yuko kwenye kipindi, anajibu anavyoulizwa. Hivyo ufafanuzi wake unaendana na mtiririko wa maswali.Aweke akiba yw maneno! Waliondoka miamba kina Zito, Kafurila, Halima nk, hakuna cha upekee anachofanya, ni njaa tu!
YouTube nikafanye niniYouTube boss. Au hata hilo nikukumbushe?
Unaamini mtu anaweza kuhamia CCM ya sasa Toka CDM Ili akaseme Kweli yote?Amesema kuhusu pesa walizokuwa wanachangishwa wao kama wabunge, hawafahamu zimetumika kufanya Nini. Na ni kweli hizi pesa zimekuwa zikitolewa porojo. Huyu Upendo kwakuwa ana hasira ataongea mengi ya hasira, lakini humo ndani tutapata ukweli.
unakujua kuanikwa hadharani mkuu? kale kadada kana njaa ajabu kamezeeka kalipohamia ccmDada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
📌..Upendo Peneza na Petrobas Katambi waligombea Uenyekiti wa Bavicha. Sasa hivi wote wamehamia Ccm.
..Huyu Dada kama hakuridhika na Chadema kwanini hakuhamia chama kingine cha upinzani?
..Mimi simuelewi anapojiunga na chama alichokipinga kwa muda mrefu, na chenye watu waliomdhalilisha kijinsia.
kafie mbele bata wahedUko sahihi sana, lakini anaongea ukweli mwingi tu.