nina undugu na waTanzania wote wanao muunga mkono Dr Samia Suluhu Hassan katika azma yake ya kuwaletea maendeleo waTanzania πUna undugu na yule jamaa anayejiita Lucas Mobutu seseseko mwashambwa?maana mnafanana uchawa Kwa mama.
dua la kuku sio , huwa halimpatagi mwewe π€£Wewe wasema....amelaaniwa kuliko wanawake wote na abdul mzawa wa tumbo lake kalaaniwa tokea sasa vizazi vyote watamwita mlaaniwa
Hongera sana kaka kwa kuchagua "UJINGA" ni mtandao Bora wenye internet yenye kasib ya ajabu π€£π€£β€οΈπ§βπ¦―π§βπ¦―πΈπΈ Msalimie......πΈ KIZIWI π€Έπ€Έπ€Έupinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k
hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...
hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..
hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..
waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.
wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..
Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?π
umenifurahisha gentleman πHongera sana kaka kwa kuchagua "UJINGA" ni mtandao Bora wenye internet yenye kasib ya ajabu π€£π€£β€οΈπ§βπ¦―π§βπ¦―πΈπΈ Msalimie......πΈ KIZIWI π€Έπ€Έπ€Έ
Tumia zawadi ya AKILI aliyokupa Mungu, yaani unaposti vitu utadhani mtu mwenye "MBOJI" kichwani!!umenifurahisha gentleman π
una mihemko ya kujua ukweli wa hoja yangu huku unatabasamu dah π€£
Nimekwambia wala Uskondehujui ngoja ngoja huumiza matumbo,?π
yaaan wengine wameshamaliza nyie ndio mtaanza kujipanga masika, sio π€£
Pole sana πau nasema uongo ndrugu zango π
Akili, yako haina akili, hata Adolf Hitler alikuwa na wapenzi, wengi,lakini dikiteta, hv unaweza kusimama mbele ya wanaume ukasema, Rwanda ya Kagame kuna demokrasia, na wananchi wanampemda, na ukashimdwa kushangaa akishinda kwa "kishindo" 90.999%? Samia ni worst president ever happened to this country kama ilivyokuwa kwa Mwinyiupinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k
hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...
hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..
hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..
waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.
wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..
Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?π
tuliza mihemko kidogo bas ndugu muerevu π€£Akili, yako haina akili, hata Adolf Hitler alikuwa na wapenzi, wengi,lakini dikiteta, hv unaweza kusimama mbele ya wanaume ukasema, Rwanda ya Kagame kuna demokrasia, na wananchi wanampemda, na ukashimdwa kushangaa akishinda kwa "kishindo" 90.999%? Samia ni worst president ever happened to this country kama ilivyokuwa kwa Mwinyi
mbona hucheki sasa kama ni kichekesho π€£Tumia zawadi ya AKILI aliyokupa Mungu, yaani unaposti vitu utadhani mtu mwenye "MBOJI" kichwani!!
Ni kichekesho Cha kebehi kwa ajili ya wazo lako ambalo hata mtoto wa chekechea aweza kucheka
Hamna ukweli, NJAA zenu ndio zinawafanya mnatia UFAHAMU mfukoni kwa muda, ili kumpaka chokaa punda awe pundamilia.mbona hucheki sasa kama ni kichekesho π€£
badala yake mihemko, ghadhab, hasira na wivu tu vimekujaa π
tuliza ball, ndio ukweli ulivyo, ni mgumu halafu mchungu π
ukikosa fikra mbadala dhidi ya hoja iliyoko mezani, mihemko haibadili chochote dhidi ya ukweli kwamba upinzan umegonga mwamba kwa kila kitu dhidi azma ya Dr Samia Suluhu Hassan kuwaletea watanzania Maendeleo π
twende kukamilisha ratiba na katiba tu?
Ama Laana Hii irudie kwako mleta maneno haya.Wewe wasema....amelaaniwa kuliko wanawake wote na abdul mzawa wa tumbo lake kalaaniwa tokea sasa vizazi vyote watamwita mlaaniwa
Upinzani sawa umegonga mwanba kwa sababu upinzani umejaa upumbavu ila kuna UZALENDO KAMWE HAUWEZI KUGONGA MWAMBAdua la kuku sio , huwa halimpatagi mwewe π€£
hata hivyo hiyo si kitu dhidi ya ukweli kwamba upinzani nchini umegonga mwamba kwa kila kitu dhidi ya mipango mikakati ya Dr Samia Suluhu Hassan kuwaletea maendeleo waTanzania π
Kama Lisu tu!!kwamba kuna jamaa kapigwa risasi ya kichwa ikatokea kwenye taya na anazungumza vizuri tu na vyombo vya habari na juice anazifakamia vizuri tu π
au ni cable tire alikua anazungumzia?π
πRAIA FEKI MNAJIDANGANYA SANAAma Laana Hii irudie kwako mleta maneno haya.
Hatuwalaanigi Viongozi wa Nchi.
Kwani ikiwasibu Laana ,na sisi wananchi hatuna salama.
Mungu awarehemu na awape Huruma na Upendo kwa raia zao.
Amin
na Hii laana Akugeuzie mwenyewe.
Amin