Upweke umewaanza vijana mapema, Uzeeni sijui itakuwaje. Ni janga kubwa

sema Upendo Feki
anaangalia kimya kimya una asset gani ndiyo akupende
anauliza unafanya kazi gani ? ili iweje hasa ?
maswali ya kipuuzi sana

😃
Ndio maana kiislamu ínashauriwa utafute mwenza ukiwa apeche Alolo kama mpango wako ni kuishi na mwanamke
 
Mtume Muhammad alisema kuwa kijana anayeweza kusapoti mke basi aoe!

Haya mambo ya kusubirisubiri sana ndiyo mwanzo wa kuingia ktk ulevi wa kupindukia, utumiaji madawa ya kulevya ili kutafuta furaha.

Ndoa inakupa sense ya juu ya uwajibikaji

Muhamad akaongeza, kama mtu anatafuta mke ni vizuri akatafuta akiwa apeche Alolo
 
Inafikirisha

Hata ukiwa na hivyo vitu uwezekano wa kupitia upweke bado upo

In life, nothing is guaranteed.
 
Binafsi yangu sidhan kama upweke unaweza kuniathiri kwa namna yoyote ile. Nafikiri ni kwasababu nilivyoyafanya tu maisha yangu yawe. Ila huu uzi umenifanya niwafkirie watoto wangu na mama yao kwamba kumbe nina wajibu wa kuwafanya wasijihis upweke licha ya harakat zangu. Na hik ni kitu nafikir wengi huwa hatukiwaz kwa undani huu ndio maana huu uzi umenigusa sana
 

Ukikosa familia au familia ikikuzingua hakika upweke utauona vaapu!
 
Loneliness is a state of mind. Unaweza ukawa karibu na makundi ya watu uliowataja kwenye hili andiko na bado ukawa mpweke. Hakuna factor moja inayopelekea hali ya upweke.
Upweke unaweza kusababishwa kuhisi kutopendwa "feeling unwanted" au kutokubalika "feeling unappreciated". Kuna njia nyingi za kuondokana na upweke na hutofautiana kati ya mtu na mtu au kundi moja na jingine na si lazima mapenzi au mahusiano.
 
Ukikosa familia au familia ikikuzingua hakika upweke utauona vaapu!
Nakubali, sema ujue nini Taikuni, kuna time huwa napenda kuishi kwa kujihami kwa upweke nikiwa kama mwanaume, maana si unajua hawa watoto wetu huwa wanatutenga sisi baba zao na kuhamishia majeshi kwa mama zao pale tunapokua watu wazima sana, unajikuta baba upo lakin ni kama huonekani licha ya kutimiza wajibu wako kwao kipindi ukiwalea. Hiz kesi zipo nyingi sana
 
Upendo unaanzia ndani.

Si Rahisi kuondoa upweke Kwa Kuoa na kuwa na familia karibu pekee,

Si Rahisi kumpenda mke au mtoto ikiwa huna Amani ya moyo iletwayo na Upendo wa Mungu kupitia Yesu Kristo.

Upendo ni kuwa na YESU maishani, ni kujazwa Roho mtakatifu aliye pendo kuu,

Ukiwa na Upendo wa Mungu ndani Yako, Upendo huo utaambukiza mke, mume na wengine Walio karibu na mbali.

Let Love of God through Jesus Christ lead the way.

Amen
 
Akubali tu anapata ngono Ila anakosa uwezo wa kumtunza mke.

Natural inkutaka uoe ujenge familia
 
Upweke ni ugonjwa,

Upweke unapelekea utendaji wa mtu kuwa chini
Upweke unasababisha vifo vya kujitakia

Upweke unapekelekea uasi kwenye jamii
 
tatizo kwanye kuoa mnaangalia shepu nk na mwisho mnaoa wadangaji na sio wanawake wa ndoa, wanasema kosea vyote usikosee kuoa mana unae muoa ndie anaebeba asilimia za maisha yako unaoa mke toka mwanzo wa penz anakuonesha ana uhitaji wa mali na sio ndoa, ni rahisi maskin kupata mke sahihi ila sio tajiri na mke ukioa pindi una kipato au kipawa flan kumbuka utapendewa hivyo vitu na siku huyo mtu akivimbiwa na kusaza au wewe kuishiwa bas haya unayosema lazima yatokee
 
Kwa kuwa hatuna takwimu za uhakika kama wenzetu, ni vigumu kujua wangapi wamewehuka au wangapi wana depression na idadi ya waliojitoa roho kabisa
Hawa wa kataa ndoa wamo kwenye kundi la mfadhaiko
Na wanaoona simu ndio rafiki wapo kwenye Dunia tofauti
Vijana chapeni kazi
 
hao viumbe wakajarib kwingine, siyo kwangu
maana kitu pekee anachoki offer , mie nnacho mkono wangu wa kulia na msaada wa mafuta
Kumbe wewe ni mpiga pull. Unashida ya kisaikojolia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…