Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Kumbe kupaza sauti kunafaa .
Baada ya uimula kwenye kutafuta mwenyekiti taifa na mpasuko sasa cdm imekuja na njia atleast za kiungwana japo ni zuga tu wanapiga kampeni wakijua hawahusiki . Hapo kongole
 
A

Binuka nikushughulikie hadi uache mchezo wa kubinya pua.
Kumbe dawa imekuingia eee, sasa Mambo ya mbinuko yanatoka wp mkuu...lkn wee si mgonjwa mtambuka??? Tulia bc mkuu au binua vzr dawa ikuingie mgonjwa gn unakuwa mbishi hivyo ??[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Ujinga mtupu, form hazijarudishwa za wagombea wengine, hao wawili wanapepetana vipi wakati muda wa wengine bado,
Kwa hiyo mnawatisha wengine wasichukue form?
Na wanaanzaje kampeni bila kutangaziwa
Au wote ni kambare kwenye hicho chama.
 
Mpe za uso huyo sukununu anadhan the Greatest anafanana na bwana yule
Kumbe dawa imekuingia eee, sasa Mambo ya mbinuko yanatoka wp mkuu...lkn wee si mgonjwa mtambuka??? Tulia bc mkuu au binua vzr dawa ikuingie mgonjwa gn unakuwa mbishi hivyo ??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…