Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

[emoji16][emoji16][emoji16] wet dreams Ni changamoto.
 

Tofauti ya 'vita' na 'oparesheni maalumu' ni ipi?
 
Sifa anazopewa urusi ni tofauti na uhalisia. Hata kama ukraine anasaidiwa na NATO bado urusi alitakiwa atuaminishe nguvu alizo nazo.
Putin is extremely overrated!
 
Unatakiwa kujua kwamba hii sio vita ni operation ndugu yanu, ivyo operation ina malengo yake na maeneo ambayo wao wameyalenga kutokana na vyanzo vyao vya uchunguzi warusi wenyewe.

Unajua kwamba Ukraine hana ni dunia ya 3 na hana uwezo wa kupigana vita na Urusi hata kidogo, vita ya ukraine naUrusi ikiwa ni vita kweli basi inachukua siku moja, tena Urkaine anapigwa kutokea Urusi wala mrusi hana shida ya kumfuata sijui uko kwake field. Anapigwa vizuri tu kutokea moscow pale.

Hii ni operation
 
Ndivyo urusi wamekuambia wamemaliza? Mbona kichekesho hiki
We jamaa unasoma kinyumenyume?, nimesema Putin kamwaga nguvu zote hawa ndo wanajipanga.na ndio shughuli inaanza.
Nnavyojua kuna kukaa mezani hapo ila nayeye aondoke.
 
Picha za mwanzoni kabisa kabla hamjaanza kufinywa , hata hvyo suala la casuality ni kawaida vitani, sa hv vifaa vya kutungua makombora yenu vimeanza kufika , inasubiriwa hyo operations yenu ya east
 
Russia malengo yake ya kuiteka Ukreine ilikuwa siku mbili tu awe ameisambaratisha na kuweka mtawala anayemtaka yeye,Bahati nzuri hesabu zake alizipiga vibaya kwa kujiamini yeye ni Super Power.Asikutadanganye mtu kuwa eti hii si vita kamili!!Sema tu Russia kazidiwa mapigo na Ukreine ndiyo maana wameshindwa kuuteka mji mkuu wa Ukreine kwa wakati!!.Kwa upande wa kuua raia,kuharibu makazi na kubomoa miundombinu ya kiraia Russia ameshinda lakini kwenye uwanja wa vita ameshindwa vibaya sana ndiyo maana mwezi na zaidi hakuna chochote alichokifanya zaidi ya kuua raia,kuharibu makazi yao na kuharibu miundombinu ya kiraia!!.
 
Mzee utasubiri miaka 200, Iran ina miaka zaidi ya 40 kwenye vikwazo, ndio kama wamewaboost, ndio taifa powerful zaidi middle east.

Russia ina uwezo wa kuipa Ulaya vikwazo na hilo limedhihirika, Russia ni giant wa dunia usifikiri hio ni Zimbwabe ya Mugabe.

Biden ameongea maneno yake ya kilevi na uzee unamsumbua eti anasema Putin ni muuaji na hafai kukaa madarakani, white house wakasema hayo ni maneno yake binafsi hayakuwa kwenye hotuba😂😂😂

Macron na ndugu yao UK nao wamejitoa juu ya kauli ya Biden na wamesema jamaa hawajamuunga mkono😂😂😂

Russia usiichukulie poa.
 
Urusi wapo vizuri tuu, shida ni Ukraini wanajeshi kujichanganya na Raia, inaleta shida kwa Urusi kufanya upembuzi yakinifu kwa vita ya aridhini. Ndio maana Urusi ameona isiwe tabu ngoja atokee angani sasa.
hao wanajeshi wa ukraine waliwafanya nini Urus mpk awavamie ndan ya mipaka yake kuwatafuta ?
 
marekani aache kuwatukia Estonia na Latvia aende kumtumia mtu ambae si mshirika wa NATO , hv hizi hoja mnawekewa kichwan au mnaziweka kwa hiari , ni.utumbo mtup
 
hatuez kutengeneza hata stick za meno sababu tunaamini vitu vigumu na kupuuzia vitu vyepes , Urusi kashavamia majirani zake wengi so na wao pia ni biashara ya Mtoto wa Biden ?
 
una hisi unatumia tu silaha bila kukumbuka akiba inaisha na wapinzan wako wanakuangalia tu
 
si mlisema atakae ingilia mnakula nae sahani moja , aya ss huyo mumemtaja kbs ni Canada jichanganyen anawasubir
 
uvamiz kwa nchi iliyo huru hairuhusiwi , inshu sio EU wala US
 
Kwa akili zako ulivyokuwa unafikiria unafikiria Ukraine Ina ukubwa kama choo unachotumia mpaka ipigwe kwa Siku 3,Ungwpata elimu ya medani usingeandika hivi,na kama umepita haijakusaidia.
 
Iran anauza mafuta nje hauzi?

Vikwazo ambavyo havigus unapopatia pesa hivyo sio vikwazo , wahongwe stop kuuza wese nje uone miaka miwili itapita wapo


Alafu Iran is no where close to that, Soleman asinge uwawa kirahisi hivyo

Russia hakuwah fka alipofika Venezuela but where is Venezuela today??
 
Kumbe na wazungu matajili nao huwa wanapeleka laptop kwa fundi kama siye makapuku?😄😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…