Taratibu mkuu. NATO ni chombo cha Marekani na sio vinginevyo. Nchi za Ulaya hawana uwezo wa kujilinda wenyewe, ndio maana wanamtegemea Mnyamwezi.Bongo
Malekani anachokoza ugonvi kwasababu anategemea NATO. Hakuna vita aliyokwenda peke yake
Hitler alijiua baada ya kusikia wa-soviet wamemuua Mussolin na mke wake, wako njiani kumfuata.Urusi hupewa mpaka sifa za uongo, ila ushindi katika vita vyote vya dunia, yani WWI na WW2 vilitegemea kwa kiasi kikubwa mchango wa US.
Hapo ndio uwezo wako wa kufikir umefikia kikomo?Manara hawezi kupambana na Mo ata km manara anawatu na anajua kuonge ila ukwel ni kwamba Mo dewj atabaki kua Mo na pesa ndo Nguvu
Mo =USA
Ngoja na wewe nikujibu kitoto kama ulivyonijibu.akiwa huko cuba na venezuela kwenye shughuli zake nyingi ataendelea kutumia dola ya marekani. urusi ambacho uwa kinamshinda kwa marekani ni nguvu ya kiuchumi na allies wa marekani ambao pia wako vizuri kiuchumi. unaweza kuwa na silaha ila njaa ikakufanya ushindwe vita. wakiminya uchumi wa urusi dakika anayoosha mikono.
Tufanye uko sawa kwa mfano wako wa MO dhidi ya Manara.Manara hawezi kupambana na Mo ata km manara anawatu na anajua kuonge ila ukwel ni kwamba Mo dewj atabaki kua Mo na pesa ndo Nguvu
Mo =USA
Nadhani humu baadhi wana upeo mdogo Sana wa siasa za dunia.Hapo ndio uwezo wako wa kufikir umefikia kikomo?
Utapata tabu Sana kumuelewesha huyu.Kwa Sababu ya kiusalama.
Uko tayari watu wakueleweshe sababu kwa Nini Urusi hataki Ukraine ajiunge na NATO?Kwann hataki Ukraine aijiunge NATO na wakati Ukraine ni nchi huru na inamamuzi yake.
Ok wewe ilete yako kisayansi basi,ama ukipenda ilete hata kiutamaduni.tutachangia tu Mkuu wangu.Bro umeharibu mada umeleta kimahaba .
Urusi anaeneo kubwa kigiographia kuliko nchi yoyote.Yaani ni nchi kubwa Sana kijiographia yaani marekani karibu mara 2 ndo unapata urusi Kwa hiyo sidhani kama urusi anataka eti kuvamia Ukraine ili kuongeza eneo lake ni kwamba USA anataka Ukraine ajiunge NATO ili USA waweke makombora yao Ukraine ili kuizunguka Urusi.acha tuishie hapo Tu.Utapata tabu Sana kumuelewesha huyu.
Nikutajie vikundi vioivyoioiga Marekani?U.S.A ana mchongo mkubwa kwenye vita ya pili ya dunia ndiye aliye geuza upepo sababu ulaya yote ikiwemo Urussi ujerman alisha fika hadi kwenye miji mikuu yao.pia Pia ukichek east Russia alishindwa na Japan.Ni wongo usiona facta eti Marekan aiyogopa russia. which russia bro?
Chanzo Cha habari yako plz....Huenda dunia ikarudi tulikotoka 1962,baada ya uoga wa Marekani dhidi ya USSR na kuamua kupeleka silaha za nyukilia nchini uturuki ili kuivizia USSR,nayo USSR haikua mvivu,ikapeleka silaha zake nzito nchini Cuba ili kuidhibiti Marekani.
Leo Tena Marekani na mpango wake wa kutaka kuikaribia Urusi Kijeshi Tena nje ya mlango wa Urusi yaani Ukraine,kwa kulazimisha Ukraine ijiunge na NATO ili iwe rahisi kuikabili Urusi pale itakapohitajika kufanya hivyo,nayo Urusi Tena sio mvivu,Bali inafikiria kupeleka majeshi nchi jirani na Marekani Cuba na Venezuela ili iwe rahisi kuikabili Marekani pindi kitakaponuka huko Ukraine.
Ifahamike kwamba Urusi hawashindwi kufanya hivyo,"ukimwaga ugali namwaga mboga".
Russia Suggests Military Deployment to Venezuela, Cuba if Tensions With U.S.
Russia’s deputy foreign minister said talks with the U.S. over the security situation in Ukraine had stalled and suggested that Moscow could dispatch a military deployment to Venezuela and Cuba, as the Kremlin seeks to pressure Washington to meet its demands to halt Western military activity that Russia claims
Sawa kabisa mkuuUrusi anaeneo kubwa kigiographia kuliko nchi yoyote.Yaani ni nchi kubwa Sana kijiographia yaani marekani karibu mara 2 ndo unapata urusi Kwa hiyo sidhani kama urusi anataka eti kuvamia Ukraine ili kuongeza eneo lake ni kwamba USA anataka Ukraine ajiunge NATO ili USA waweke makombora yao Ukraine ili kuizunguka Urusi.acha tuishie hapo Tu.
Swala sio kupita sijui anga gani....Kama vidume waingie Ukraine waone...ndio maana ujerumani na hangury wamejitenga na huu mgogoro. jana ndege za urusi zilipita anga la estonia kwa makusudi kabisa.
russia kabalance ecosystemsiku zote russia sina mashaka nayo,ukimwaga mboga,faster wanamwaga ugali,bila huyo hapa duniani,USA angekuwa anatembea juu ya vichwa vya watu,na huna wa kukutetea,mfano syria..
Acha story za kwenye kahawa.... USA kashindwa wapi Syria? Yupo Syria na juz kamuua kiongozi wa isil au wewe uko dunia nyingine?Mbona walishindwa Syria Kwa Sababu ya Russia.Russia Kam yupo sehemu USa hawezi kushinda.Russia yupo vizuri kitecknologia kama USA Tu.kaka Russia wako very strong na pia wanasilaha zingine Kali Sana kuliko hata USA.we hujiulizi kwanini marekani anataka kumzunguka urusi.Urusi Sio ya mchezomchezo.
Waambie hao na story zao za kwenye kahawa...Unafahamu kuwa Marekani yupo Syria tena anamiliki visima vya mafuta vya Syria sasa inakuwaje Mrusi ashindwe kumtoa Marekani Syria kwenye hayo maeneo ya visima vya mafuta?
Mbona wameshindwa kumtoa Rais?hao ISIS Marekani anawaua wahuni wao wenyewe.unafikiri hao ISIS wametengenezwa na Nani.Marekani si walikuwa wanawasapoti waasi ambao walikuwa wanataka kuiondoa serikali?Acha story za kwenye kahawa.... USA kashindwa wapi Syria? Yupo Syria na juz kamuua kiongozi wa isil au wewe uko dunia nyingine?
Huu ndo ukweli wa biashara ya mafuta Syria.makampuni ya mabeberu hayapo Syria.Unafahamu kuwa Marekani yupo Syria tena anamiliki visima vya mafuta vya Syria sasa inakuwaje Mrusi ashindwe kumtoa Marekani Syria kwenye hayo maeneo ya visima vya mafuta?