Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

Bongo

Malekani anachokoza ugonvi kwasababu anategemea NATO. Hakuna vita aliyokwenda peke yake
Taratibu mkuu. NATO ni chombo cha Marekani na sio vinginevyo. Nchi za Ulaya hawana uwezo wa kujilinda wenyewe, ndio maana wanamtegemea Mnyamwezi.
 
Urusi hupewa mpaka sifa za uongo, ila ushindi katika vita vyote vya dunia, yani WWI na WW2 vilitegemea kwa kiasi kikubwa mchango wa US.
Hitler alijiua baada ya kusikia wa-soviet wamemuua Mussolin na mke wake, wako njiani kumfuata.
hitl.png
 
akiwa huko cuba na venezuela kwenye shughuli zake nyingi ataendelea kutumia dola ya marekani. urusi ambacho uwa kinamshinda kwa marekani ni nguvu ya kiuchumi na allies wa marekani ambao pia wako vizuri kiuchumi. unaweza kuwa na silaha ila njaa ikakufanya ushindwe vita. wakiminya uchumi wa urusi dakika anayoosha mikono.
Ngoja na wewe nikujibu kitoto kama ulivyonijibu.
Marekani ili kwenda anga za mbali hutumia vyombo vyenye injini zilizotengenezwa urusi.
 
Manara hawezi kupambana na Mo ata km manara anawatu na anajua kuonge ila ukwel ni kwamba Mo dewj atabaki kua Mo na pesa ndo Nguvu
Mo =USA
Tufanye uko sawa kwa mfano wako wa MO dhidi ya Manara.
Sasa hebu fikiria,nchi moja tu kuidhibiti zinaungana nchi nyingi
Yaani USA,+ European countries= NATO dhidi ya nchi moja tu.ambayo wewe umefananisha na Mo dhidi ya manara.
Sasa jiulize USA+NATO dhidi ya mbabe Urusi ndo ulete huo mfano wako.
Kama una akili timamu nadhani utaona hali halisi.
 
Kwann hataki Ukraine aijiunge NATO na wakati Ukraine ni nchi huru na inamamuzi yake.
Uko tayari watu wakueleweshe sababu kwa Nini Urusi hataki Ukraine ajiunge na NATO?

Labda kabla ya kwenda mbele unafikiri ni kwa Nini USA hataki na hakutaka Turkey anunue S400 ya Urusi?Na hataki nchi nyingine zinunue,na ametishia kuziwekea vikwazo kama zikiinunua? Wakati nazo ni nchi huru?
Ama unadhani ni kwa Nini 1962 USA alizozana na Urusi ilipopeleka silaha zake CUba?
 
Utapata tabu Sana kumuelewesha huyu.
Urusi anaeneo kubwa kigiographia kuliko nchi yoyote.Yaani ni nchi kubwa Sana kijiographia yaani marekani karibu mara 2 ndo unapata urusi Kwa hiyo sidhani kama urusi anataka eti kuvamia Ukraine ili kuongeza eneo lake ni kwamba USA anataka Ukraine ajiunge NATO ili USA waweke makombora yao Ukraine ili kuizunguka Urusi.acha tuishie hapo Tu.
 
U.S.A ana mchongo mkubwa kwenye vita ya pili ya dunia ndiye aliye geuza upepo sababu ulaya yote ikiwemo Urussi ujerman alisha fika hadi kwenye miji mikuu yao.pia Pia ukichek east Russia alishindwa na Japan.Ni wongo usiona facta eti Marekan aiyogopa russia. which russia bro?
Nikutajie vikundi vioivyoioiga Marekani?
Marekani ilipigwa na kikundi kilichikua kinaongozwa na Mohamed Farah Aidiid.
Marekani ilikimbia Afghanistan dhidi ya kikundi Cha Taleban.
Marekani ilichapwa na wanamgambo wa Fidel Castro wa Cuba.

Marekani waliondoka Syria baada ya kufurumushwa na Urusi.

Marekani aliapa kuipiga Korea kaskazini akitegemea msaada wa NATO.Nato walipokataa kutoa ushiriakiano akala Kona.
 
Huenda dunia ikarudi tulikotoka 1962,baada ya uoga wa Marekani dhidi ya USSR na kuamua kupeleka silaha za nyukilia nchini uturuki ili kuivizia USSR,nayo USSR haikua mvivu,ikapeleka silaha zake nzito nchini Cuba ili kuidhibiti Marekani.
Leo Tena Marekani na mpango wake wa kutaka kuikaribia Urusi Kijeshi Tena nje ya mlango wa Urusi yaani Ukraine,kwa kulazimisha Ukraine ijiunge na NATO ili iwe rahisi kuikabili Urusi pale itakapohitajika kufanya hivyo,nayo Urusi Tena sio mvivu,Bali inafikiria kupeleka majeshi nchi jirani na Marekani Cuba na Venezuela ili iwe rahisi kuikabili Marekani pindi kitakaponuka huko Ukraine.


Ifahamike kwamba Urusi hawashindwi kufanya hivyo,"ukimwaga ugali namwaga mboga".

Russia Suggests Military Deployment to Venezuela, Cuba if Tensions With U.S.​

Russia’s deputy foreign minister said talks with the U.S. over the security situation in Ukraine had stalled and suggested that Moscow could dispatch a military deployment to Venezuela and Cuba, as the Kremlin seeks to pressure Washington to meet its demands to halt Western military activity that Russia claims
Chanzo Cha habari yako plz....
 
Urusi anaeneo kubwa kigiographia kuliko nchi yoyote.Yaani ni nchi kubwa Sana kijiographia yaani marekani karibu mara 2 ndo unapata urusi Kwa hiyo sidhani kama urusi anataka eti kuvamia Ukraine ili kuongeza eneo lake ni kwamba USA anataka Ukraine ajiunge NATO ili USA waweke makombora yao Ukraine ili kuizunguka Urusi.acha tuishie hapo Tu.
Sawa kabisa mkuu
 
Mbona walishindwa Syria Kwa Sababu ya Russia.Russia Kam yupo sehemu USa hawezi kushinda.Russia yupo vizuri kitecknologia kama USA Tu.kaka Russia wako very strong na pia wanasilaha zingine Kali Sana kuliko hata USA.we hujiulizi kwanini marekani anataka kumzunguka urusi.Urusi Sio ya mchezomchezo.
Acha story za kwenye kahawa.... USA kashindwa wapi Syria? Yupo Syria na juz kamuua kiongozi wa isil au wewe uko dunia nyingine?
 
Acha story za kwenye kahawa.... USA kashindwa wapi Syria? Yupo Syria na juz kamuua kiongozi wa isil au wewe uko dunia nyingine?
Mbona wameshindwa kumtoa Rais?hao ISIS Marekani anawaua wahuni wao wenyewe.unafikiri hao ISIS wametengenezwa na Nani.Marekani si walikuwa wanawasapoti waasi ambao walikuwa wanataka kuiondoa serikali?
 
Back
Top Bottom